Hakuna kitu hapa, refa kawatafutia goli kilazima.



Kwahiyo vipi kuhusu Ban?Mda uliisha kitambo, refa katafuta goli kilazima
Refa hakuwa fair kabisa, hii mechi Ass'anal kapewa upendeleo wa ajabu sana.Faken refariiiiiiii![]()
Leo Arsenal hatoboi, ushindi wake ni sare, akishinda nipigwe ban.
Kachezeshe weweRefa hakuwa fair kabisa, hii mechi Ass'anal kapewa upendeleo wa ajabu sana.



Je tukifungwa mechi zote zilizobaki?Mamamaninnaaaa Arsenal I can't believe we are in champions league next season
Mimi namafuta ya mgando fyofyokoNakuambia hivi leo mkishinda nipigwe ban.View attachment 2537219
Kama inauma chomoa mkuuFaken refariiiiiiii![]()
Arsenal si watu.Vp kuna nini