Bingwa atajulikana 30.4.2011 mechi baina ya man u na wenger boys atakaeshinda ndie atakua anaukaribia ubingwa
Pamoja Boss Mpya yupo radhi kutumwagia kitita cha usajili sikia kauli ya wenger "I don't need to spend" kaniudhi hebu someni hapa Arsene Wenger: I don’t need to spend | The Sun |Sport|Football
Sawa mkuu,lkn uzalendo umenishinda.
Mbwa man ure wamebebwa sana leo walikuwa wafe leo..teja ferdinand kamsukuma anichebe kwenye penalty box refa akauchubua..
Mabadiliko yanatakiwa yaanze kwa kumuondoa Wenger! Mafanikio aliyoyapata yanatosha! Sasa hiv kashaishiwa mbinu na anaonekana kuipeleka timu pabaya!
Arsenal inahitaji meneja mpya!
Happy Easter watani, angalieni hizo Easter eggs zisiwafanye mkakosa mechi kwa kupitiwa na usingizi.