Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu, ati ni kweli kuna bundi kaonekana hapa? Kwa nini msimle kabisa ili aache kuwasumbua? Au fanyeni hivi, mkamateni mwende naye White Hart Lane halafu mmuache huko huko!!
 
Asa ndugu zangu, kati yenu, AW, mbu, Wacha1, Michelle au hata BBK atakayewai aniwekee siti ya mbele kabisa....leo siwaachi nyie.
 
jamani Manda anachungulia nini saa hizi??? mechi zao anachelewa hadi wafunge huku kwetu anawahi kama nini......!!!
 
Asa ndugu zangu, kati yenu, AW, mbu, Wacha1, Michelle au hata BBK atakayewai aniwekee siti ya mbele kabisa....leo siwaachi nyie.

siti zimejaa labda kama utakubali ukae unipakate mimi....l.o.l......tuko pamoja,nitakupa siti niliyokuwa nimemshikia Rev Masanilo kama hahatokea....l.o.l:spy:
 
Tottenham: Gomes, Corluka, Gallas, Dawson, Assou-Ekotto, Huddlestone, Modric, Bale, Van der Vaart, Pavlyuchenko, Crouch.
Subs: Cudicini, Kaboul, Lennon, Defoe, Bassong, Sandro, Pienaar.
Arsenal: Szczesny, Sagna, Djourou, Koscielny, Clichy, Song, Walcott, Fabregas, Diaby, Nasri, Van Persie.

Mungu ijaalie Arsenal, Mungu ijaalie Furaha yangu.... leo sidhani kama kuna neno lingine zaidi ya Ushindi.......
 
leo sijui AW ana formation gani??? naona uhai wa Diaby last game umemfanya ampumzishe JW.... Alipobadili formation tuliwafunga Chelsea na game zilizofuata....So leo sidhani kama kutakua na 2-0 comeback again......
 
Tutashinda nina imani....pamoja sana!!!

Thanx for being here michelle!!!! i hate loneliness sometymz.... esp in such big games!!! hope ur fingers are tyt crossed as mine...... Allah be with us
 
Watu diaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaby watu diaaaaaaaaaaaaaaaaaaby *14366778
 
jamani Manda anachungulia nini saa hizi??? mechi zao anachelewa hadi wafunge huku kwetu anawahi kama nini......!!!
dada michelle usiwaogope,tupo pamoja na tutapambana nao mpk mwisho,wala usijali wanazi wa the gunners tupo naleo tunashinda bao 2-1.
 
Asa ndugu zangu, kati yenu, AW, mbu, Wacha1, Michelle au hata BBK atakayewai aniwekee siti ya mbele kabisa....leo siwaachi nyie.

...KARIBU SANA, Usikimbie tu!
 
Tupo pamoja guys lakini nawaomba muwepo hapa mpaka mwisho wa game......na tutasaidiana kushangilia timu haha....leo lazima mutandikwe tu.....
 
jamani Manda anachungulia nini saa hizi??? mechi zao anachelewa hadi wafunge huku kwetu anawahi kama nini......!!!

Nitakusaidia kushangangilia leo ila usiingie tu mitini nipe kampani mpaka dakika ya 90 hahaha lazima mtandikwe leo....
 
dada michelle usiwaogope,tupo pamoja na tutapambana nao mpk mwisho,wala usijali wanazi wa the gunners tupo naleo tunashinda bao 2-1.

Goal difference counts mazee!!! Yes we need to win.....by Hooks and crooks.... But we need a BIG WIN..... Nobody knows what will happen 2mrw!!!!!
 
dada michelle usiwaogope,tupo pamoja na tutapambana nao mpk mwisho,wala usijali wanazi wa the gunners tupo naleo tunashinda bao 2-1.

Tutashinda....Mungu yu upande wetu....nashangaa Mfarisayo.Manda wameshakaa kabla wenyeji hawajakaa....:rant:
 
Tupo pamoja guys lakini nawaomba muwepo hapa mpaka mwisho wa game......na tutasaidiana kushangilia timu haha....leo lazima mutandikwe tu.....
sasa utashangilia nini kama tutatandikwa? watu wengine bwana,mbona ile siku mnacheza na Chelsea tuliwashangilia?:hat:

Nitakusaidia kushangangilia leo ila usiingie tu mitini nipe kampani mpaka dakika ya 90 hahaha lazima mtandikwe leo....
umeme umekatika naenda kulala mimi....l.o.l:alien::nerd:
 
No Wilshere? Wenger ana njama zake za kutaka tufungwe. Mie siku nzima natangaza ubabe leo najua kati nina Wilshere na Song kaenda kukieka kitoto chake cha alicho ki-adopt?

Hakuna mechi inaitaji english blood ya Wilshere kama hii.


Anyway Asalam aleykum wakuu wenzangu wa gunners, tuko pamoja.
 
Goal difference counts mazee!!! Yes we need to win.....by Hooks and crooks.... But we need a BIG WIN..... Nobody knows what will happen 2mrw!!!!!
ni ngumusana kupata goli nyingi kwa totenham hawa jamaa ni wapinzani wetu wajadi nahua wanatubania sana,tuombe mungu tupate tu point 3,kwagoli nyingi itakua ngumu.
 
Back
Top Bottom