Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

:A S 13::A S 13: Kuna wageni wana tabia mbaya sana....unazamia msibani hadi unakera....nimechelewa kuja nikijua watakuwa wameshaondoka nashangaa wako tu......kama mnataka tuwaachie jukwaa tutawaachia....waone kwanza.......em nendeni bwana tuna kikao......he he he he....am kidding....

VIVA ARSENAL......!!!!
 
Kwanza sijui wewe ni timu gani maana naona kama u mgeni hapa SEF(sorry kama nimekukwaza)....Mwaka jana aggregate ilikuwa 6-3...

Barca leo naona kama tungewaweza kama RVP asingepewa kadi,nina uhakika na hilo.....Kiujumla Barca hawatishi kivile na nina uhakika wataishia QF,hawataenda popote.............Leo refa kawabeba kubali kataa
Timu pekee ya kumtoa Barca labda ni Bayern Munich,7bu kocha wao alifundisha Barca enzi hizo msaidizi wake Mourinho kwahiyo anawajua vizuri,ila sidhani wengine eg Real Madrid,Chelsea na Man Utd
 
Now napata nguvu za kuongea ... that was another JOKE referee. Is there any referees without issues????? :A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:
 
hawana lolote mpaka wabebwe kwa mbeleko ya chuma ndio wawatoe the guners,watakutana robo na chelsea lazma wang'oke kenge hawa.
Dua la kuku halimpati mwewe,hatutatolewa na timu yoyote kutoka England madomokaya mpira hawajui lol,ukitaka wapende au wachukie Barca ndio timu bora kwa sasa duniani,yani acha tu Iniesta,Xavi,Pedro,Messi,Biskut,Villa,Alves,Pique na Abidal wanatisha khekhekhee naona jana hadi baadhi ya mashabiki wengine wa Man Utd na Chelsea waliungana kutaka Arsenal iwatoe Barca,kweli wanatisha na kuogopewa lol.
 
:A S 13::A S 13: Kuna wageni wana tabia mbaya sana....unazamia msibani hadi unakera....nimechelewa kuja nikijua watakuwa wameshaondoka nashangaa wako tu......kama mnataka tuwaachie jukwaa tutawaachia....waone kwanza.......em nendeni bwana tuna kikao......he he he he....am kidding....

VIVA ARSENAL......!!!!

Kasoro mm tu swtheart nimeondoka mapemaaaaa (after chakula cha mchana).....

Hujambo lakini mama?, uchovu, maumivu?, :wink2:

Hahahahaa!
 
:A S 13::A S 13: Kuna wageni wana tabia mbaya sana....unazamia msibani hadi unakera....nimechelewa kuja nikijua watakuwa wameshaondoka nashangaa wako tu......kama mnataka tuwaachie jukwaa tutawaachia....waone kwanza.......em nendeni bwana tuna kikao......he he he he....am kidding....

VIVA ARSENAL......!!!!

Nyie mnavyojua kuvamia thread za watu wakifungwa sanasana Maure, ha ha..leo kazi kwenu, hiki ni kilio cha mwezi ati!!..wageni tuwepo ili wenyeji mpone hujui hilo??!!!..nakupa pole tena ya jana!!
 
BJ vipi matanga mmemaliza? Naona maneno mingi wakati bado uko kwenye msiba. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee naona bado una ndoto za magoli ya loserfools.
 
Safi sana hawa wanaoibuka kama uyoga chijui matokea wapi? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee dirisha dogo limefungwa bana khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee waingie kwa vitambulisho .... ...
Noted:Tangazo kwa 'wazamiaji'wote..., KUSHIRIKI MSIBA HUU, LAZIMA UWE NA KITAMBULISHO!!!
 
Naona watu hawabaduki hili kukwaa kulikoni? Haya mwende nyumabi kwenu sasa araaaa, wazazi wanawatafuta ni usiku sasa mtuache wenye nyumba tujadili maswala yetu
 
Hee! Maswali ya kipolisi hadi huku??! Huu msiba kiboko! Pokea pole zangu kwanza halafu ndo tutambulishane mkuu...
Noted:Tangazo kwa 'wazamiaji'wote..., KUSHIRIKI MSIBA HUU, LAZIMA UWE NA KITAMBULISHO!!!

Please_Take_Off_Shoes.png


...enough said. :A S-frusty2:
 
Naona watu hawabaduki hili kukwaa kulikoni? Haya mwende nyumabi kwenu sasa araaaa, wazazi wanawatafuta ni usiku sasa mtuache wenye nyumba tujadili maswala yetu

Mtoto mrembu huyu naona mzee ananyemelea kushika hips kwa nyuma


Wacheni waseme jamani, Gunners wanawanyima watu wengi sana usingizi! Khe khe khekhe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee yaani tangu mwaka mpya umeanza tumepoteza game mbili kwa hiyo furaha waliyonayo ni kubwa .... ..... as a team we learn kutokana na kufungwa vile vile. Barca wetu hawa tuliwachapa vile vile Emirates ... ...
 
BJ vipi matanga mmemaliza? Naona maneno mingi wakati bado uko kwenye msiba. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee naona bado una ndoto za magoli ya loserfools.

Tanga letu limekuwa na ahueni,tukiwakomesha ndio litaisha kabisa mpaka mpate kiwewe kufungwa mfululizo..kichapo cha liverfools bado kipo kwa mbali ila kwa karibu nope!!..nyie je? mlitoa macho J4 ha ha..


Wacheni waseme jamani, Gunners wanawanyima watu wengi sana usingizi! Khe khe khekhe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee yaani tangu mwaka mpya umeanza tumepoteza game mbili kwa hiyo furaha waliyonayo ni kubwa .... ..... as a team we learn kutokana na kufungwa vile vile. Barca wetu hawa tuliwachapa vile vile Emirates ... ...

Gunners mnajinyima wenyewe usingizi Wacha1..halafu kumbuka Barca nao waliwachapa vilevile kwao halafu na mmetoka kwenye mashindano,msubiri yajayo..Ila homeboy una courage sana kama vile kichapo hakikuwauma!!..Matanga yataisha mwisho wa machi nahisi🙂)
 
Poleni ,tangu mmepata msiba nilikuwa sijapata.Karibuni Old Trafford
 
Tanga letu limekuwa na ahueni,tukiwakomesha ndio litaisha kabisa mpaka mpate kiwewe kufungwa mfululizo..kichapo cha liverfools bado kipo kwa mbali ila kwa karibu nope!!..nyie je? mlitoa macho J4 ha ha..




Gunners mnajinyima wenyewe usingizi Wacha1..halafu kumbuka Barca nao waliwachapa vilevile kwao halafu na mmetoka kwenye mashindano,msubiri yajayo..Ila homeboy una courage sana kama vile kichapo hakikuwauma!!..Matanga yataisha mwisho wa machi nahisi🙂)

Waandishi wa habari wanataka kuongea na nyie kuhusu mechi ya liverpool , wafungulieni mlango lol. Hacheni kususa kufungwa ni kawaida ya mchezo ha ha ha.
 
Waandishi wa habari wanataka kuongea na nyie kuhusu mechi ya liverpool , wafungulieni mlango lol. Hacheni kususa kufungwa ni kawaida ya mchezo ha ha ha.
Dawa yao ni kuwakalia kimya maana ukispeak your mind out unakuwa matatani ukikaa kimya nongwa sasa mnataka tufanye nini?
 
Wakulu,

Mambo hayakwenda kama ilivyopangwa.

Inajulikana Walcott na Alex Song hawakuweza kucheza mechi ile pale Nou Camp na Cesc Fabregas alicheza baada ya msuli kutuna tena na ndio maana hakuweza kucheza katika hali yake ile tumwonayo akichezea Arsenal.

article-1299779162162-0D88317C000005DC-246841_636x300.jpg

Cesc Fabregas -the engine room was cold at Nou Camp

Walcott aliwachosha sana Barca pale Emirates na hata tukaweza kufunga magoli yale mawili. Hata hivyo Barcelona kama wangetumia nafasi walizopoteza pengine wangefunga magoli mengi. Kwahio ile kasi ya mchezo ambayo Arsenal ilitumia pale Emirates haikuwepo kule Nou Camp isipokuwa Jack Wilshere tu ndio alikuwa akijaribu na alifanikiwa kumpa mpira Nichlas Bendtner kwenye dakika ya 89 na kama kawaida yake badala la kuunganisha kupeleka wavuni akataka "second touch" na akazuiwa na beki.

Alex Song pale Emirates alisaidia kulinda back four na alifanya kazi hio kwa ufanisi mkubwa. Abou Diaby alishindwa kazi hio pale Nou Camp na alikuwa alipoteza mipira mingi sana kwa Xavi na pia alisababisha msongamano pale kwenye "midfield" na hatimae Barca wakafunga goli la tatu ambalo ndio liliwakatisha tamaa Arsenal.

Wakulu msiwe na wasiwasi kwenye ligi kuu Arsenal ina "game in hand" na tupo nyuma kwa 3 points tu na nina imani tutawafunga West Brom na Blackburn kupata 6 points.

Jumamosi tunawatoa Man Utd hata kwa goli 2 tu zitatosha.
 
Back
Top Bottom