Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kila la heri washika bunduki wenzangu.......Sisi ndio Arsenal na jadi yetu ni kwamba 'Together we Stand'
 
salama wadau Wenzangu??? leo japo line ups za timu zote mbili haziko sawa...but sisi ni zaidi koz pale kati kuna mawe mawili....Li diaby na Denilson....Sina imani ni hawa watu kabisa.....
 
Ubishi wa France team WC naona unaendelea kati ya Nasri na Evra......i remember Nasri aliponda uongozi wa timu uwanjani under Evra.....
 
salama wadau Wenzangu??? leo japo line ups za timu zote mbili haziko sawa...but sisi ni zaidi koz pale kati kuna mawe mawili....Li diaby na Denilson....Sina imani ni hawa watu kabisa.....


...Almunia je? :A S-frusty2:....weshatuliza!
 
Diaby akicheza lazima niwe na wasiwasi na game husika....Sijui ni kwa nini hata............
 
Who shouldn't Blame our defense on that??????? bado kuna Muda wa kurudi...Ila kama tukitolewa na FA hata ligi tusahau....ni kukomaa kusheza CL next season....Hakuna spirit ya ushindi kabisa.....Final balls hazipo.......
 
...he he he, team yangu Arsenal inavyocheza leo, mnh...wala sitoshangaa.
Lakini Chenga twawala!

Kabisa mkuu hivi huyu diaby kwa nini mnampenda lakini??maana hata hatupi pressure sana....
 
Tuko nyuma kwa bao 1

...e bana wee, upo? Long time bro.

Who shouldn't Blame our defense on that??????? bado kuna Muda wa kurudi...Ila kama tukitolewa na FA hata ligi tusahau....ni kukomaa kusheza CL next season....Hakuna spirit ya ushindi kabisa.....Final balls hazipo.......

...japo nahusudu "wenger ball", wachezaji hawaonyeshi ari ya ushindani.
They should stop kujiendekeza na hii kitu "this team has potential and is maturing"

 
Who shouldn't Blame our defense on that??????? bado kuna Muda wa kurudi...Ila kama tukitolewa na FA hata ligi tusahau....ni kukomaa kusheza CL next season....Hakuna spirit ya ushindi kabisa.....Final balls hazipo.......


Sio final balls peke yake, hawana balls kabisa.
 
Back
Top Bottom