mfarisayo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 5,160
- 2,004
by the way huyo refa si ndio alimtoa fletcher kwenye semi ya uefa dhidi ya arsenal?
Na walichekelea sana kwa kutolewa na wakapewa penalt leo amekua mbaya kwao, mkuki kwa ngurue..........
Bye jamani tunashukuru kwa ukarimu wenu wa kutupokea maturubai ya msiba vizuri.