Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Da! Poleni san.. no kumbe hamjafiwa mmekufa nyie!! Hivi wafu wanapewa pole?? Hivohivo bana, poleni sana. Msijali lakini si mnalo lile kombe lenu la Emirates? poa
 
Wala hujakosea mkuu mie namtupa mpaka namba 5 nampa 4 SONG.

...na Frimpong akirudi ndio kabisaaa,...! tuna midfielders wengi tu wanachipukia, kina Lansbury, Hendersson, ...Game ya leo alikuwa kama msukule tu. I hope Jumamosi atakaza msuli, otherwise mashabiki wa Gunners hawatamsahau kwa lile goli la kwanza, zawadi aliyowazawadia Barcelona leo.
 
Now you are talking......Kumbe wewe ni Moro United(Manure)....

Ndo maana kelele miiiingi.....Suarez+Kuyt jibu lake ni nini?

Naelewa mkuu walitupa ile siku sema na sisi katikati tulianzisha wazee ndio maana......
 
Da! Poleni san.. no kumbe hamjafiwa mmekufa nyie!! Hivi wafu wanapewa pole?? Hivohivo bana, poleni sana. Msijali lakini si mnalo lile kombe lenu la Emirates? poa


he!? ashakum si matusi,...wewe ni nani?
 
Anyway,

It was just another game, tutange yajayo!
Usiku mnono,...

We Are The Gunners!!!
 
Usiku mwema wakuu................


I Love you Arsenal.......Forever and for Always
 
Mkuu Wacha1 umetubania sana leo hujatuwekea kabisa ma pics mpaka Moderator Ab ndio anaweka......

Pics kama kawa mkuu wala usiwe na shaka ... ... .

Fabregas naona alicheka Messi alipofunga penati. Aombe mungu pundits wawe hawajainasa hile .


Dogo kauza timu huwezi kutoa pasi kama ile wakati unafahamu muda kidogo ni halftime .... ..... na pasi zile huwa kwenye goli la wapinzani ... .. Barca watutayarishie kitita tu aende zake he was useless today na kule kuwakumbatia Barca kabla ya gemu kujipendekeza very disgusting I hope walete mpunga mzuri tu hata Chelsick walionyesha kutaka kumnunua bora aende huko ... .... alikuwa analilia sana kucheza ili aiuze timu ... ..... wakati hayuko 100% fit .. ...



Wacha1 pichaz pls..imeshakuwa historia hii japo inauma au siyo??!!..
Asubuhi njema jamani..mkalale siyo kuota mechi hii...

Yaani pics zote huzioni?

Naona wenye nyumba leo wameenda kulala wamesusa kutupa kampani wageni.....jamani uchoyo huo na wala sio vizuri ilibidi mtupe kampani wageni mpaka tujisikie kuondoka......hahha

Hizo habari za kukimbia kawaambie Chelsick walioanza kushinda bada ya mafioso kuingia sio chichi ..... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee



Arsenal will be back more stronger .. .... ...... ..... ......
 
he!? ashakum si matusi,...wewe ni nani?

Safi sana hawa wanaoibuka kama uyoga chijui matokea wapi? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee dirisha dogo limefungwa bana khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee waingie kwa vitambulisho .... ...
 
Cesc ameomba msamaha kwenye tweeter ... ...

Great support from the arsenal fans. I take full blame for the result tonight. One of the worst moments of my life. I apologise.

Anyway mradi anafahamu makosa yake asirudie .... .... Natumaini na sisi Wapenzi wa Arsenal tutamwacha kwa hili ... ... ... inabidi ajirekebishe.
 
Cesc ameomba msamaha kwenye tweeter ... ...



Anyway mradi anafahamu makosa yake asirudie .... .... Natumaini na sisi Wapenzi wa Arsenal tutamwacha kwa hili ... ... ... inabidi ajirekebishe.




That's his first assist as a Barca player, bye-bye Fibreglass.
 
Haya ndo matatizo ya kushangilia vitimu vidogovidogo, mnakashangilia weeeeee, mwisho kanaishia kulizwa tu! Makoo yametukauka bure.
Vitimu visivyozoea kubeba makombe makubwa makubwa huwa vinamis-step hivihivi. Sasa nyie Arsenal mlitegemea kweli kucheza 'uruguay' itawapa advantage? Hamkuona SISI tulivyowaliza manure juzi?
Bwasi bana, tutawasaidia kuuguza machungu polepole.
Jitahidini basi angalau mchukue EPL, lol.
 
Haya wakuu wamebebwa kama vile mategemeo ya wanoko wote khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee thas the only way Arsenal can lose 10 against 11 khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


This's the only way Arsenal can lose:

Barcelona Arsenal


Goals scored 3 1
Attempts on target 10 0
Attempts off target 7 0
Corners 5 2
Possession (%) 68 32
Fouls committed 8 19
Yellow cards 0 5
Red cards 0 1
 
Hizi stats nyingine za ajabu sana 'Stats are staggering
in Barca vs Arsenal: passes 717-195; shots 19-0'


Lakini bado wana guts za kusema wameonewa!! Wamejionea wenyewe in my book! Wamepark bus na kutegemea ushindi uje tu wenyewe, wakapewa bao la kijinga lakini bado wakashindwa kulilinda, sasa utawasaidia vipi hawa "watoto"?! Just give them a nice spank on Saturday and let them run their gob in the spirit of "tunaonewa".
 
and i have to rub this in, wiki tatu zilizopita mlikuwa mnazungumzia quadruple, then treble.....


Then double, Jumamosi single....hahahaahaha....on May nothing, seven years and counting.
 
Kushindwa kwetu kwa kiasi kikubwa kumechangiwa sana na huyu referee mnoko. Maamuzi yake yalikuwa yameegemea zaidi kutuadhibu sisi na pia VP hakustahili kupewa card nyekundu...pia AW kama ulikuwa ni uamuzi wake wa kucheza defensive game, basi kwa maoni yangu uamuzi huo ulikuwa ni makosa maana jamaa walijenga kibanda golini kwetu na kufanya mashambulizi ya ziada, na timu yoyote ile ikishambuliwa kwa muda mrefu basi ni lazima kutakuwa na makosa ambayo yataleta athari.


You're bigger than this bro! Lazima ukubali kwamba mmefungwa kwa kuzidiwa, you didn't attempt any shot na mlikuwa mnakaba tangu mwanzo wa mpira mpaka mwisho, huyo Van Pussy alikuwa isolated the whole time he was on the pitch. Your plan was to park the bus, unfortunately it backfired and you got violated.
 
Haya yaishe banaaa!!!....

Arsenal-v-Sunderland-Arsene-Wenger-frustratio_2570272.jpg



Hahaahahaha!! Lost in a sleeping bag...hahahahaha!!
 
ha ha ha peasant ni ajabu mpaka sasa hivi hajatokea, sijui alienda kuangalia mpira pub akawauzi washabiki wa arsenal huko lol.i hope yuko salama.


Rev Masanilo yule nae kawa kama Rev Mtikila, kila siku jela lol.


Hahahaha, niko salama chief wangu. Hongereni kwa kupunguza idadi ya magoli, japo mmeonyesha ni jinsi gani msivyojiamini kwa kushindwa kupiga hata shuti moja tu golini kwa Barca.
 
Back
Top Bottom