Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,249
- 2,156
Acha uzushi bana.....Wenye nyumba mbona tupo wa kumwaga humu ndani..........Hatuna kawaida a kukimbia sisi kama majirani na watani zetu(except Peasant).......Tupo mpaka usubuhi hapa,we ebdelea tu na kujaza bandwith........
Arsenal; Together we Stand
Aminia mkuu....Jumamosi tunacheza na nyinyi nadhani tutaongea sawa kabisa na tutafurahi sawa mkuu, take it easy bro kuna siku ya kufurahi na kutokufurahi.....