Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haya wakuu wamebebwa kama vile mategemeo ya wanoko wote khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee thas the only way Arsenal can lose 10 against 11 khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
nothing but love bro... cheko lako tu

poleni kwa leo
 
Well....Tumetolewa,all I can say is pamoja na kuzidiwa mchezo lakini refa kaharibu mchezo kwa kumpa RVP red kwa kosa la kupiga mpira a second after the whistle,kutoka kwa RVP kumetumaliza maana tushaanza kurudi kwenye msitari....This was unafair kabisa.....Na tatizo lingine ambalo daima naliongea ni AW kupenda kujitakia kufungwa kwa kuendelea kumbeba Abou Diaby mchezaji ambaye daima yu legelege badala ya kumuanzisha Denilson..........Na Almunia auzwe haraka sana

Otherwise hongereni sana 'mashabiki' wote wa Barca akina Manda,Papizo et al.......Na pia shukrani kwa Eqlypz na MTM kwa kuwa pamoja nasi na kututia moyo katika kipindi hiki kigumu cha majonzi.....Tumekufa kiume though

Poleni sana the gunners wenzangu akina Mbu,AW,Baba Mkubwa,my Michelle,Quest,Richard,Ng'wanza Madaso,Next Level,Consultant na wengine wote....Tujipange kwa msimu ujao wa UEFA.....

Mbarikiwe sana
Ngosha... big up, they say we dont dont bow down... language of heroes

poleni lakini mmepambana kiume

tunakumiss kule kwetu mazee
 
Jamani michelle pooole, mtusamehe akiua nia yetu ila ni bahati mbaya tu lets meet on saturday
 
poleni sana arsenal eniwei kimelipuka tayari. nendeni mkabanane na manu epl
 
As usual we are the victims of bad refereeing again phewwwww
 
Hongera sana kwa timu yangu nzuri ya ARSENAL.....aluta continua....bado mapenzi yetu yako pale pale.....!!!:rain:
wageni huu ndo wakati wa kuondoka,tuna kikao cha familia.....!!!

Tuko pamoja michelle, nguvu zote kwenye makombe ya nyumbani.
 
Duuu mkuu hujakata tamaa tu bado???POLE SANA MKUU

Mkuu Gunners huwa hatukati tamaa mpaka kieleweke... we just need to add 2 or 3 good players in order to rule the World.

 
Hizi stats nyingine za ajabu sana 'Stats are staggering
in Barca vs Arsenal: passes 717-195; shots 19-0'
 
Haya wakuu wamebebwa kama vile mategemeo ya wanoko wote khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee thas the only way Arsenal can lose 10 against 11 khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Pole mkuu sasa haya maturubai inakuwaje.............komaeni na FA na EPL.
 
Wakuu napenda sana kuwapa pole na tusichukiane jamani ndio mpira huu na ni hali ya kawaida.....sisi juzi tulikandamizwa 3 na watu walitucheka sana ila tukasema lazima leo tuje tuwape kampani humu ndani.....poleni sana na tutaonana tena mwakani .....hahahaha
 
naangalia superspot hapa na wamemjadili huyu refer kumbe ni awaida yake kutoa reds za ajabu... wamemtrace like ten years ago na nyingine maarufu ni ya kunhe world cup 2010
 
Arsenal itabaki kuwa Arsenal na tutabaki kuwa The Gunners,ya leo ni ajali tu(4-3 agg si haba)......Cha msingi tujipange tu for EPL pamoja na kundeleza kilio Morogoro kwa Moro Utd hiyo jumamosi........

Sisi ndio Arsenal bana.................Together we stand
 
Michelle pole sana ila usinikasirikie naomba tikikutana kwenye majukwaa mengine tusichuniane hahaha,raha sana leo........

hongera sana mkuu.....mimi sichunii mtu.....am happy when you are happy....you know what i mean....l.o.l:hand:
 
Back
Top Bottom