Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Together we stand wakuu, for better and for worse!
 
poleni sana waheshimiwa. michelle bili yako ya net ya mwezi huu nitalipa mimi.
 
Leo bila Aluminium mngepigwa 6.

Poleni sana watani.
 
ndo zao....naandika majina hapa....siku ya mechi zao....wiki nzima ninaotesha mizizi kwao

Michelle pole sana ila usinikasirikie naomba tikikutana kwenye majukwaa mengine tusichuniane hahaha,raha sana leo........
 
Poleni watani!

Lakini by now nina uhakika mmeshakuwa wazoefu wa majanga kama haya na haiumi kiviiiile. Msijari sana, bado FA na EPL.

This one was just too big for you guys...and you know it.
 
Hongera sana kwa timu yangu nzuri ya ARSENAL.....aluta continua....bado mapenzi yetu yako pale pale.....!!!:rain:
wageni huu ndo wakati wa kuondoka,tuna kikao cha familia.....!!!
 
Haya wakuu wamebebwa kama vile mategemeo ya wanoko wote khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee thas the only way Arsenal can lose 10 against 11 khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Refa katuua huyu, turudi zetu Epl ss! Usiku mwema wadau wenzangu na hongera kwa wote tulikomaa mwanzo hadi mwisho! Asiekubali kushindwa si mshindani wacha ss tugange yajayo!
 
Hongera sana kwa timu yangu nzuri ya ARSENAL.....aluta continua....bado mapenzi yetu yako pale pale.....!!!:rain:
wageni huu ndo wakati wa kuondoka,tuna kikao cha familia.....!!!

namwakilisha mwanangu tafadhali!
 
barcelona siku zote wanabebwa wakicheza na timu za england...mnakumbuka few seasons ago walipocheza na chelsea?

Anyway poleni watani, ndio ukubwa huo.
 
Well....Tumetolewa,all I can say is pamoja na kuzidiwa mchezo lakini refa kaharibu mchezo kwa kumpa RVP red kwa kosa la kupiga mpira a second after the whistle,kutoka kwa RVP kumetumaliza maana tushaanza kurudi kwenye msitari....This was unafair kabisa.....Na tatizo lingine ambalo daima naliongea ni AW kupenda kujitakia kufungwa kwa kuendelea kumbeba Abou Diaby mchezaji ambaye daima yu legelege badala ya kumuanzisha Denilson..........Na Almunia auzwe haraka sana

Otherwise hongereni sana 'mashabiki' wote wa Barca akina Manda,Papizo et al.......Na pia shukrani kwa Eqlypz na MTM kwa kuwa pamoja nasi na kututia moyo katika kipindi hiki kigumu cha majonzi.....Tumekufa kiume though

Poleni sana the gunners wenzangu akina Mbu,AW,Baba Mkubwa,my Michelle,Quest,Richard,Ng'wanza Madaso,Next Level,Consultant na wengine wote....Tujipange kwa msimu ujao wa UEFA.....

Mbarikiwe sana
mkuu maneno mature haya... you are truly a lyrical master... tukajipoze kule wa blog ya kitime
 
Back
Top Bottom