KIWAVI
JF-Expert Member
- Jan 12, 2010
- 1,817
- 700
Until next UEFA.... I say bye bye!!!
we dont say goodbye, we just say goodnight
Arsenal mmejitahidi jamani
Until next UEFA.... I say bye bye!!!
Yani kama nakuona AW, marefa wanakera sana ila ni kukubaliana na hali halisi halafu kuangalia mashindano mengine kama uefa imebuma!!..du!!
Together we stand wakuu, for better and for worse!
ndo zao....naandika majina hapa....siku ya mechi zao....wiki nzima ninaotesha mizizi kwao
Together we stand wakuu, for better and for worse!
Together we stand wakuu, for better and for worse!
Hongera sana kwa timu yangu nzuri ya ARSENAL.....aluta continua....bado mapenzi yetu yako pale pale.....!!!:rain:
wageni huu ndo wakati wa kuondoka,tuna kikao cha familia.....!!!
Always Mkuu..VIVA ARSENAL VIVA! We'll try again next year to win this UEFA Cup
mkuu maneno mature haya... you are truly a lyrical master... tukajipoze kule wa blog ya kitimeWell....Tumetolewa,all I can say is pamoja na kuzidiwa mchezo lakini refa kaharibu mchezo kwa kumpa RVP red kwa kosa la kupiga mpira a second after the whistle,kutoka kwa RVP kumetumaliza maana tushaanza kurudi kwenye msitari....This was unafair kabisa.....Na tatizo lingine ambalo daima naliongea ni AW kupenda kujitakia kufungwa kwa kuendelea kumbeba Abou Diaby mchezaji ambaye daima yu legelege badala ya kumuanzisha Denilson..........Na Almunia auzwe haraka sana
Otherwise hongereni sana 'mashabiki' wote wa Barca akina Manda,Papizo et al.......Na pia shukrani kwa Eqlypz na MTM kwa kuwa pamoja nasi na kututia moyo katika kipindi hiki kigumu cha majonzi.....Tumekufa kiume though
Poleni sana the gunners wenzangu akina Mbu,AW,Baba Mkubwa,my Michelle,Quest,Richard,Ng'wanza Madaso,Next Level,Consultant na wengine wote....Tujipange kwa msimu ujao wa UEFA.....
Mbarikiwe sana
always mkuu..viva arsenal viva! We'll try again next year to win this uefa cup
Nguvu zote makombe ya nyumbani sasa, mwaka huu lazima kieleweke, no more excuses.