Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dah! Huwezi kuiacha team ikajenga kibanda katika goli lenu kwa muda mrefu bila kuwa na athari
 
Penalt mmekwishaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nilisema lazima 3 sasa mmekubali naona......
 
dah poleni sana wakuu. imenijia huruma kidogo. goaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaal
 
no matter how many right decision ref makes now, they dont count\

almunia anatiwa
 
Too late Wenger, kama ulikuwa umekuja kutafuta draw kwa barca umechemka. mda wote huo kamuacha arshavin nje saa hizi ndio anamleta.
 
Back
Top Bottom