BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Nyie mbona mnakata tamaa mapema hivyo jamani!! Mimi nilikuja kuwapa support, mwanikatisha tamaa...!!!
Basi ngoja tungangamare labda unaweza kutuletea bahati hizi dakika za lala salama LOL!
Nyie mbona mnakata tamaa mapema hivyo jamani!! Mimi nilikuja kuwapa support, mwanikatisha tamaa...!!!
Naona leo wamekuwa wengi sana kwenye kijiwe chetu LOL!
Ooh The Gunners mchawi leo nani?refa?..poleni sana wapinzani wa jadi!!...yani nilishinda kwa hii thread tangia mornie!!...
Acha nikapate Paella ya waspanish mana ingedoda!!..Easy guys ndio kandanda🙂)))
tatizo na Gadafi nae anaelekea kushindwa....kesho naenda zangu Loliondo.....unalo Shosti,mwanao wiki nzima kanuna!!:mullet:
Yaani we acha uzuri kalala sasa kimbembe kesho,hahahahah nsubiri ndandie lift maana wawili ni wawili ukizingatia hali halisi ya Loliondo:wink2:
we shosti we, lugha gani hiyo ya kitanda jamani
mzee gianluca vialli aliwahi kusema "10 men against 11 is out of soccer excuse" .....mwisho wa kunukuu. mimi naona tuwapeni pole ze goonerz tu. tuonane mwakani
Pole bibie,umewaona Barca eeh eniwei tusubiri mpira uishe kabisaa...Hiyo Loliondo kunani?
Leo nadhani hutalala, fantasies za hii mechi zitakuzingira!!..
nakusubiri...usichelewe sana dear
marefa kama kawaidia yao , wanatuandama mpaka uefa lol.
yeah, mwakani
@ Michelle... pole sweetheart, refarii kaharibu mechi ya mwaka
mimi siwezi kosa usingizi Belinda.....nilishakubali matokeo hata kabla ya mechi....at least tumefungwa na BARCA na si bwawa la maini kama nyie
Loliondo naenda kutembea....kuna babu yangu mzaa bibi kkule....l.o.l