Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

tatizo na Gadafi nae anaelekea kushindwa....kesho naenda zangu Loliondo.....unalo Shosti,mwanao wiki nzima kanuna!!:mullet:

Yaani we acha uzuri kalala sasa kimbembe kesho,hahahahah nsubiri ndandie lift maana wawili ni wawili ukizingatia hali halisi ya Loliondo:wink2:
 
Ooh The Gunners mchawi leo nani?refa?..poleni sana wapinzani wa jadi!!...yani nilishinda kwa hii thread tangia mornie!!...
Acha nikapate Paella ya waspanish mana ingedoda!!..Easy guys ndio kandanda🙂)))
 
hakimbii mtu hapa mkuu.....niliwapoteza wazamiaji.....am here to stay....kwani tumeanza fungwa leo?? :A S 13:

Naona leo wamekuwa wengi sana kwenye kijiwe chetu LOL!

 
Arsenaaaaaaaaaal!

Well, it is utter madness to continue doing the same thing over and over again....and expect different results.

You move on. Jumamosi Man U mwendo mdundo!
 
Back
Top Bottom