Pole sana Michelle, ndio mpira huo dada angu.
Nimekuja kukupa pole Michelle
asiyekubali kushindwa si mshindani..bahati haikuwa yetu..hongera Birmingham na hasa GK wao
Mkuu ulijificha utasema timu yako ndio inacheza? lol
Hiyo miak 50 sio inacount only for first division/EPL na sio vikombe vingine, hapa tunaongelea miaka 6 ya bila kikombe hata mbuzi.
Van pursie na Rosie (rosicky) were shit!
Endeleeni na matanga yenu
Hahahaha, ningecheka sana ningekuona unavyozima TV. Anyway, hawa Arsenal Carling cup linakuwa kombe kubwa sana kwa ni wao wanacheza, hii inaonyesha ni jinsi gani walivyo na kiu cha kombe japo moja ili kutoa nuksi ya uwanja wa Emirates. Lakini ukweli ni kwamba bado Carling cup ni Mickey Mouse cup ukilinganisha na makombe mengine.
duh...heartbreaking... To say the least
Miye nimeishiwa nguvu kabisa!...Duh! Ndiyo matatizo ya kutosajili wacheza wazuri maana pengo la wachezaji wawili tu linaleta matatizo makubwa kuliko inavyostahili. Poleni sana wana GUNNERS wenzangu.
Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, You can't even win a Mickey Mouse cup at Emirates!!!!
wacha1.... leo zamu yako ndugu yangu, cheklo lako tu
Khe khe kheeeeeeeeee khekeheeee eheheheeeeeeeeeeeeee...
poleni and its just one out of four
Ndio matatizo ya kusajili wachezaji wavivu kujifunza lugha! lol! BTW poleni sana wakuu! i feel for you mannn! to me you desreved to win this BUT unlucky!
Six years and counting, Emirates ina nuksi itabidi tuchunguze labda ilijengwa juu ya makaburi. Bundi karudi nyumbani rasmi!!
Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!
ARSENAL mkiambiwa hamjui mpira na experience hamna bado mnalalamika,wachezaji utoto utoto mwingi.....imekula kwenu hiyo.......hahahahah
Hivi wadau Arsenal tuna mkosi gani? mbona mechi za muhimu na za kugangamala tunafungwa au tumejitahidi sana sare? Mfano ni mechi ya leo na Birmingham city yaani tunafungwa dakika za majeruhi! Kwa kweli inavunja moyo sana.
Kwanza poleni watani..then daaaaah!, sijui nisemeje ila my worry ni kile alichokisema Eqlypz, Domino effect, for years now timu yenu imekuwa ina fail kutoka katika defeat situation nightmare/hangover, pengine ndiyo sababu u have been allegedly called 'kids'.
Ngumu kukubali lakini ukweli unabaki kuwa in the next two to three weeks, Arsenal msipojiangalia you will be out of ALL competitions, wth an exception of EPL run may be. Mark my word, na kama unataka;- tu-bet. Tunaanza Camp Nuo, mm kazi yangu kuhesabu tu. MOJA!
Good lucky though.
Alamsiki waungwana.
Kwanza poleni watani..then daaaaah!, sijui nisemeje ila my worry ni kile alichokisema Eqlypz, Domino effect, for years now timu yenu imekuwa ina fail kutoka katika defeat situation nightmare/hangover, pengine ndiyo sababu u have been allegedly called 'kids'.
Ngumu kukubali lakini ukweli unabaki kuwa in the next two to three weeks, Arsenal msipojiangalia you will be out of ALL competitions, wth an exception of EPL run may be. Mark my word, na kama unataka;- tu-bet. Tunaanza Camp Nuo, mm kazi yangu kuhesabu tu. MOJA!
Good lucky though.
Alamsiki waungwana.
aisee....just like Torres and Ashley Cole.....enjoy drinking Rev....see you soon!!!
Wala hatuna shaka timu tunayo wachezaji tunao its just a matter of time ... .... karibu sana
For you ofcourse not us!
Usijali mkuu ndio soka hiyo .... ...
Kama ni hivyo ulikuwa unaangalia ili iwe nini? You're a loser mate!
It does not bother me nilisema long time wanoko wote wanangojea siku ambayo Arsenal atapoteza game and fortunately its today ... our attention is on the next match.
You do not need to feal for us feal for yourself mate. Soccer is about winning and sometimes you lose a game here and there. If you do not know that you shouldn't be a fan.
Wewe tunakufahamu Wivu unakusumbua.
Sijui siku zote uko wapi ukiangalia EPL ambayo ndiyo competitive tupo pale juu sasa kama unabeza mpira wa Arsenal ni mwendawazimu.