I can feel we are dropping one after another, if we couldnt do Carling what can we stand for?????? Disgusted!!!
...COME ON YOU GUNNERS!!!
![]()
TOGETHER WE STAND!!!!![/vyovyote vle sawa 2
Nauliza tu wajameni....kwamba tanga mnaanua lini.....labda mei....?
Tukiweza kumzima zigic kwenye mipira ya juu kwisha kabisa, nilikuwa namuogopa martins kwa nguvu zake naona kaanza bench.
kila la kheri gunners.
...yataka moyo mkuu, it's a roller coaster ride lakini tutafika tu.
We are the Gunners, Together We Stand!
DEVASTATED ... Arsenal boss Wenger![]()
Heshima kwako Wacha1.
Mkuu vipi tena mbona leo mkali kama pilipili ebu angalia picha ya Mr Bean uenda ukapunguza munkari
Usiwe na shaka kujikwaa sio kuanguka. Bora tumelikosa maana tungechukua mngesema onea buji tumelikosa. Wacha tuwapigilie msumari chacha kwenye EPL na CL bila kusahau FA cup.