Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahahahaha! Lakini hata akizima TV haibadili kitu uwanjani. Labda ajaribu pia kukaa mbali na JF kama Wacha kila Arsenal wakicheza.
heheh mkuu nilishawahi kuzima tv wakati wa mechi yetu ya ucl 2008... Alafu nyie washabiki wa arsenal kiboko timu nyingine ikishiriki carling cup mnasema ni 'worthless cup' ila leo mko final mnajidai mna amnesia.
 
...kidooooogo, kuna matumaini...
I hope Chamakh nae atafanya cha maana hapa leo...

 
Wenger vipi anamtoa arshavin? nilijua rosicky ndio atamtoa. sasa kamleta chamkh amsaidie bendtner kunyata pale mbele.
 
heheh mkuu nilishawahi kuzima tv wakati wa mechi yetu ya ucl 2008... Alafu nyie washabiki wa arsenal kiboko timu nyingine ikishiriki carling cup mnasema ni 'worthless cup' ila leo mko final mnajidai mna amnesia.

...e bana wee minya basi bana aaaah!?
Huyu Ben Foster mlimuuza au? anataka sifa leo.
 
Hii sub ya AW sijaipenda kabisa.....Nilidhani angemtoa Rosicky ili Nasri arudi dimba la kati...Hatuna game ya maana kabisa hapa...
 
Wenger vipi anamtoa arshavin? nilijua rosicky ndio atamtoa. sasa kamleta chamkh amsaidie bendtner kunyata pale mbele.

Wakati mwingine huyu wa jina wako decisions zake ni very questionable wa kutolewa alikuwa ni Rocisky na si Arshavin (from Russia with love).
 
heheh mkuu nilishawahi kuzima tv wakati wa mechi yetu ya ucl 2008... Alafu nyie washabiki wa arsenal kiboko timu nyingine ikishiriki carling cup mnasema ni 'worthless cup' ila leo mko final mnajidai mna amnesia.


Hahahaha, ningecheka sana ningekuona unavyozima TV. Anyway, hawa Arsenal Carling cup linakuwa kombe kubwa sana kwa ni wao wanacheza, hii inaonyesha ni jinsi gani walivyo na kiu cha kombe japo moja ili kutoa nuksi ya uwanja wa Emirates. Lakini ukweli ni kwamba bado Carling cup ni Mickey Mouse cup ukilinganisha na makombe mengine.
 
...e bana wee minya basi bana aaaah!?
Huyu Ben Foster mlimuuza au? anataka sifa leo.
forster alidai kuwa man utd kuna pressure sana...anashangaa baada ya kushinda carling cup 2009 badala ya kushangilia kesho yake wakaenda training alfajiri.
 
Msiombee kufika penati nakumbuka Ben Foster alitupa ubingwa kwenye penati
 
Hahahaha, ningecheka sana ningekuona unavyozima TV. Anyway, hawa Arsenal Carling cup linakuwa kombe kubwa sana kwa ni wao wanacheza, hii inaonyesha ni jinsi gani walivyo na kiu cha kombe japo moja ili kutoa nuksi ya uwanja wa Emirates. Lakini ukweli ni kwamba bado Carling cup ni Mickey Mouse cup ukilinganisha na makombe mengine.

...madhali Chelsea, Man United, Liverpool et al wote mlishiriki hatua za awali kombe hili, hata mkiliita jina gani...halibadilishi ubora wa team shiriki, au sio bana?...halafu mnachoooooonga as if tumeshinda tayari. Nyie vipi bana?
 
...madhali Chelsea, Man United, Liverpool et al wote mlishiriki hatua za awali kombe hili, hata mkiliita jina gani...halibadilishi ubora wa team shiriki, au sio bana?...halafu mnachoooooonga as if tumeshinda tayari. Nyie vipi bana?
heheh mtani ni banter tu...
Peasant wakati terry anakwenda kupiga penalty mzee nikaona isiwe shida nikazima tv nikasubiri dakikka tatu nikawasha tena.
 
iT IS ALL OVER,
DAMNNNNNNN!"!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom