iT IS ALL OVER,
DAMNNNNNNN!"!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
heheh mtani ni banter tu...
Peasant wakati terry anakwenda kupiga penalty mzee nikaona isiwe shida nikazima tv nikasubiri dakikka tatu nikawasha tena.
...dear, dear, dear arsenal....!!!
wtf is happening??? Anyway,...
together we stand, for better and for worse.
Miye nimeishiwa nguvu kabisa!...Duh! Ndiyo matatizo ya kutosajili wacheza wazuri maana pengo la wachezaji wawili tu linaleta matatizo makubwa kuliko inavyostahili. Poleni sana wana GUNNERS wenzangu.
swahiba unarusha kokoto kwenye sega la nyukoI luv Arse Anal
I hope wachezaji wetu hawatokata tamaa, kazi yote waliofanya kwenda kufungwa goli la kizembe vile inauma sana.