Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Ushindi unaraha sana! Congrats Wenger
Uzuri wake sie tupo hapa nyumbani kwenye msiba wetu, sio kama nyie mnavyosusia mahiti yenu kila siku lol.
Ushindi unaraha sana! Congrats Wenger
Matokeo ya mwisho YAMEMALIZIA kitendawili changu. Ngoja nianze pitia comments za ndg zangu nyie ambao hata kombe TULILOWAACHIA na kimsingi lenye HADHI yenu mmeshindwa kulinyakua.
Niko powaa mkuu. simchezo bado ma 3 tumebakisha , nyie mangapi? lol
to be honest i was praying for brummies victory...sasa ngoja niende twitter nikamtafute jack wilshire na sczeny maana walimsema sana ashley cole
There are currently 37 users browsing this thread. (19 members and 18 guests)
Jamani kuweni wazalendo tujulisheni matokeo wenzenu.
Ooooppsss! mambo ya 'Politikali' Correctness!
am sorry mzee wa itifaki...😛ray: ha ha ha!
Nashukuru kusikia uko powaa manake ulinitisha kidogo.
Sisi tumebakisha mawili mkuu. Lakini angalia kuna jamaa katoa angalizo zuri hapo juu kwamba hii mechi inaweza kuwa na domino effect, hivyo sitashangaa kusikia Leyton Orient wakiwa wanalamba midomo kwa hamu sana huko waliko.
Uzuri wake sie tupo hapa nyumbani kwenye msiba wetu, sio kama nyie mnavyosusia mahiti yenu kila siku lol.
I hope hatutafikisha miaka 50 kama nyie lol.
Hiyo miak 50 sio inacount only for first division/EPL na sio vikombe vingine, hapa tunaongelea miaka 6 ya bila kikombe hata mbuzi.
Wapi Michelle?
Kweli kabisa Mkuu siye huwa hatukimbii kijiwe chetu hata kama tumepigwa tundu tutaliwazana hapa hapa kijiweni kwa namna moja au nyingine siyo kama wale wenzetu huyakimbia majukwaa yao hata kwa wiki nzima.