Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Poleni sana watani mana mwenyewe kiliniuma japo siyo Gunners...wapi BAK,AW, Wacha1,kweli,Mbu et al...??!!
I feel for AW masikini but ndio mpira!!

Asante BJ tushapoa, kama ulivyosema ndio mpira. jinsi mechi ilivyo ngumu sikutegemea itaisha kirahisi vile. utasema picha ya kihindi lol.
 
Domino effect imeenda hadi kwenye account zenu?, nasoma soccernet apa naona mwaka jana mmepata loss ya £2.5M!
 
Yaani wewe unafaa sana kwenye uchambuzi wa mpira.
How did you know these two could be the killers?


Mkuu siunajua timu yako unakuwa unaijua weakness zake ziko wapi na unapata jibu nani atasumbua.

Martins nilimlenga kwa vile yuko aggresive sana na ana uwezo mzuri wa kumiliki mpira. Angeweza kutusumbua zaidi kama angeanza.
 
Domino effect imeenda hadi kwenye account zenu?, nasoma soccernet apa naona mwaka jana mmepata loss ya £2.5M!

wala sio mbaya kiviile ukiangalia kwa undani.


Arsenal Holdings plc - Financial results

  • Operating profit (before depreciation and player trading) of £12.6m (2009 - £29.3m) with, as expected, a reduction in the contribution from property.
  • Sale of 50 apartments at Highbury Square generated revenue of £22.5m (2009 - 261 apartments sales generated £96.6m) and an operating profit from property of £3.3m (2009 - £11.3m) reflecting the lower number of apartments now left for sale.
  • Property business continues to be debt free with all sales contributing to Group's cash position of £110.4m (2009 - £101.0m).
  • Further significant commitment to a determined policy of investing in the team with the re-signing of several key first team players and Arsène Wenger as the Club's Manager.
  • Football operating profits (before depreciation and player trading) of £9.3 million (2009 - £18.0m) reflect this increased investment in football wages and also timing differences in the number of home games played (2010 - 10 home matches in first half of 28 matches, so far confirmed, for full year / 2009 - 12 of 27).
  • Significantly reduced profit on player sales of £4.0m compared to £33.9m for the prior year.
  • Changes in property and player trading, which are essentially one-offs, impact overall result for the period - loss after tax of £2.5m (2009 - profit of £29.2m).
Commenting on the interim results, Peter Hill-Wood, non-executive chairman, said:

"This is a robust performance in the current climate and is where we expected to be at this stage of the financial year and at this stage in our longer term development plans for the growth of the Club.

The Club is exactly where we want to be, competing for trophies across the closing months of the season. I know that Arsène Wenger and his players will remain focused and will be appreciative of the fantastic support they get from our fans around the world.

I also want you to know that we are proud of the fact we continue to compete at the highest level while staying true to our principles. We continue to operate as a self-funding Club. This brings its own challenges in an increasingly competitive environment but provides the platform for a secure and positive long term future."
 
Birmingham really spoiled Arsenal's party. Even after the final whistle, the Gunners were asking whether Cesc Fabregas would be allowed to go up and lift the trophy!

The Arsenal victory parade bus being reversed back into the garage


 
Pics zote hapa mkuu ...


Carling-Cup-final-019.jpg

The pundits and bookies have written off Birmingham before the match. Samir Nasri looks to prove them right early on, but Roger Johnson flies in to curb the danger


Carling-Cup-final-018.jpg



Carling-Cup-final-024.jpg

Wenger doesn't look too happy. But he's got no reason to moan - his side should be a goal and a man down. However, a terrible decision by the linesman denied Birmingham a clear penalty when Lee Bowyer was felled by the Arsenal keeper


Carling-Cup-final-020.jpg

Justice is served in the 28th minute when Nikola Zigic leaps to put Birmingham in front


Carling-Cup-final-021.jpg

The 6ft 7inch Serbian beats Wojciech Szczesny to the ball and his header sails into the empty net. 1-0 to Birmingham


Carling-Cup-final-026.jpg

Bowyer winces in pain after another unforgiving challenge

Carling-Cup-final-034.jpg


carlingcup-arsenal



Carling-Cup-final-030.jpg

Birmingham have been dominant since taking the lead but Arsenal, led by Wilshere, spring a quick counter. The 19-year-old fires an effort at goal which canons off the crossbar ...


Carling-Cup-final-022.jpg

... Andrey Arshavin collects the rebound and crosses to Van Pussy, who flashes an instinctive volley across the face of the goal and into the far corner. It's 1-1 with six minutes until half time


Carling-Cup-final-028.jpg

McLeish tries to reorganise his players


Carling-Cup-final-035.jpg

Wilshere finds a novel way to halt Ferguson


Carling-Cup-final-040.jpg

But Wilshere's defensive team-mates are in more generous mood, gifting Obafemi Martins a tap-in in the 89th minute
KABOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOM!!!!!



Ooops na hapa


Carling-Cup-final-037.jpg

The final whistle blows after four minutes of stoppage time, sending Birmingham's players delirious


Carling-Cup-final-041.jpg



Carling-Cup-final-039.jpg

Arsenal's players are despondent. Laurent Koscielny, in the centre, was at fault for the winning goal as he and goalkeeper Wojciech Szczesny failed to clear a seemingly harmless ball into the box


Carling-Cup-final-042.jpg

The red ribbons are removed from the cup


Carling-Cup-final-002.jpg

Wilshere looks teary-eyed as he receives his loser's medal....


Carling-Cup-final-038.jpg

... before Stephen Carr holds the trophy aloft for Birmingham


Carling-Cup-final-043.jpg

Alex McLeish gets his hands on the cup and looks pretty chuffed about it, too. It's been a thoroughly deserved victory for the Blues


Carling-Cup-final-005.jpg

Bowyer is greeted by cheering supporters as he wanders into the tunnel


Carling-Cup-final-004.jpg

Martins is mobbed by the media ...


Carling-Cup-final-003.jpg

Martins has got himself a souvenir - the builder's hat which was given to him by one of the fans during the post-match celebrations



Ahsante kwa picha.
 
Ahsante kwa picha.

Kama nilivyosema Mwanzo una kila sababu ya ku-own unachoweka kama huwezi kusema hiki ndicho nilichoweka na ninakiamini basi wewe ni coward. Utakuwa na machungu sana mwaka huu kwa sababu ya Wivu, nilikwambia last week unafanya editing kwa kile ambacho sijaweka na unaendelea kufanya hivyo kwa faida ya nani nobody knows.


BTW mimi nikiweka kitu nakubali nimekiweka. Hii yote ni kuumizwa na vijana machachari wa Arsenal angalia gap ya points between the two.

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Kama nilivyosema Mwanzo una kila sababu ya ku-own unachoweka kama huwezi kusema hiki ndicho nilichoweka na ninakiamini basi wewe ni coward. Utakuwa na machungu sana mwaka huu kwa sababu ya Wivu, nilikwambia last week unafanya editing kwa kile ambacho sijaweka na unaendelea kufanya hivyo kwa faida ya nani nobody knows.


BTW mimi nikiweka kitu nakubali nimekiweka. Hii yote ni kuumizwa na vijana machachari wa Arsenal angalia gap ya points between the two.

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Carling-Cup-final-039.jpg
 
Rev Masanilo

Mkuu endelea kugombea Europa cup .... .... chichi tunaangalia mbele next game yaliyopita si ndwele thats the same kama tulivyowaburuza pale Emirates .... ..khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


 
Rev Masanilo

Mkuu endelea kugombea Europa cup .... .... chichi tunaangalia mbele next game yaliyopita si ndwele thats the same kama tulivyowaburuza pale Emirates .... ..khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Mnaangalie Mbele Ndo wapi?

Orient Leyton wanakuja! Messi anaangalia nyuma.

Hebu niambie kinachotokea hapo kwa Wenger Awali Arshavin alikuwa mkali sana, Rosicky na hata Chamakhi ila kwa sasa du wamekuwa average players kulikoni?
 
Mnaangalie Mbele Ndo wapi?

Orient Leyton wanakuja! Messi anaangalia nyuma.

Hebu niambie kinachotokea hapo kwa Wenger Awali Arshavin alikuwa mkali sana, Rosicky na hata Chamakhi ila kwa sasa du wamekuwa average players kulikoni?

Huwezi kuwasahau baada ya kuwatungua pale Emirates ...... Good angalau una kumbukumbu nzuri khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee






CL mko nje tayari! Maana kule Hispania ni balaa iwapo mnafungwa na Birmingham.

Ulisema maneno hayo hayo Barca walipokuja Emirates khe khe kheeeeeeeeeeeeeee Wacha Wivu weye ... ..... khe khe kheeeeeeeeeee
 
For you ofcourse not us!
Nicca please... why would I be heartbroken..?
Acha kujidai akijauma...kubali mmefungwa and it hurts hizi yengele nyingine ni mazungumzo baada ya habari.
 
Kama nilivyosema Mwanzo una kila sababu ya ku-own unachoweka kama huwezi kusema hiki ndicho nilichoweka na ninakiamini basi wewe ni coward. Utakuwa na machungu sana mwaka huu kwa sababu ya Wivu, nilikwambia last week unafanya editing kwa kile ambacho sijaweka na unaendelea kufanya hivyo kwa faida ya nani nobody knows.


BTW mimi nikiweka kitu nakubali nimekiweka. Hii yote ni kuumizwa na vijana machachari wa Arsenal angalia gap ya points between the two.

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


I hit a nerve, you sad man!!
 
Huwezi kuwasahau baada ya kuwatungua pale Emirates ...... Good angalau una kumbukumbu nzuri khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee

Ulisema maneno hayo hayo Barca walipokuja Emirates khe khe kheeeeeeeeeeeeeee Wacha Wivu weye ... ..... khe khe kheeeeeeeeeee

Hivi ni Chamakhi ama Samaki?
 
Mkipenyeza kwa kale ka team ka mchangani FA Cup, kuna kigingi kinawasubiri - Man Utd.

It is safe to say yamebaki makombe mawili. Again, bado kuna Barca. I guess limebaki moja!

Al the best.
 
I hit a nerve, you sad man!!

Wewe ni coward hata picha ambazo zipo kwenye magazeti unaogopa kusema ni wewe uliyeweka ni AIBU uombe msamaha tu kwa wana jamvi maana hii ni tabia yako kupindisha hoja za members hapa. Phew! What a loser its just a Game. I hope you will apologize.
 
Back
Top Bottom