LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,296
- 1,038
Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, You can't even win a Mickey Mouse cup at Emirates!!!!
In red did you mean Wembley!?? they played at Wembley Mkuu!
Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, You can't even win a Mickey Mouse cup at Emirates!!!!
Six years and counting, Emirates ina nuksi itabidi tuchunguze labda ilijengwa juu ya makaburi. Bundi karudi nyumbani rasmi!!
Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!
Nilikwambia yule bundi anarudi nyumbani Emirates stadium, hamjachukua kombe hapo Emirates.....hahahahahahahahahaha!!!!
I hope wachezaji wetu hawatokata tamaa, kazi yote waliofanya kwenda kufungwa goli la kizembe vile inauma sana.
Dah haya kombe limetuchomoka hili . Defence imetocost. Poleni washika bunduki wenzangu
Ngoja nikapate serengeti larger uswazi
Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, You can't even win a Mickey Mouse cup at Emirates!!!!
Vipi mapigo ya moyo sasa hivi, kuna nafuu!!
I hope wachezaji wetu hawatokata tamaa, kazi yote waliofanya kwenda kufungwa goli la kizembe vile inauma sana.
e bana wee! ARSHAVIN na ROSICKY waliposajiliwa walikuwa wazuri sana bro, ....Uzuri wao umeishia wapi?
TOTAL CRAP PLAYERS THESE TWO BASTARDS FROM EASTERN EUROPE....
Ninafuraha na ninaamini wale Orient na barca watadumisha furaha
Inauma sana AW na hasa ukitilia maanani kwamba tulikuwa na nafasi nyingi za kuwa mbele hata kwa goli mbili zaidi au tatu. Inauma sana.
hehehe mlianza kuzungumzia quadruple tangu october... Anyhow poleni watani ndio mpira huo...sasa angalieni msikumbwe na domino effect yake.