Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sasa hivi mechi za Arsenal inabidi uangalie nyumbani pekee yako. Honestly I don't believe Arteta has anything left to change the team, he has already exhausted his tactics still we are where we are, certainly dropping further in days to come. No creativity, no discipline, no confidence. Bado Arteta ana sababu ya kuendelea kuwapo?
"It took klopp four years to get Liverpool where they are today, Arteta has just 323 days as a head coach"- IAN WRIGHT 24/October

Kiukweli huyu Arteta atupishe, aendelee kuwa shabiki tu kama sisi

Unajua anaweza kutushusha daraja kimzaha mzaha hivi hivi.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Labda ungefafanua nadanganya kwenye kipi?
Haya ni maneno ya Wenger ambaye alimsajili akitokea Madrid;

Mesut Ozil is a great player and a creative player, but you have to balance the team because on the defensive side of it it is not his strength,” Wenger told talkSPORT.

Pia suala la wachezaji kadhaa klabuni kuachwa/kuuzwa kutokana na kutokuwa sehemu ya mipango ya kocha husika ni kawaida halijaanzia kwa Ozil. By the way Ozil aliuzwa Arsenal baada ya Ancelotti kuchukua mikoba ya Mourinho 2013/2014 na kusema Ozil hatakuwa sehemu ya mipango yake na atawatumia Di Maria na Bale instead.
Mkuu hapa unatudanganya sasa.. Timu zinabadili mifumo ya kiuchezaji kila kukicha na zinatumia wachezaji wale wale, timu zinabadili makocha na kila kocha anakuja na tactics na mfumo wake na wachezaji ni wale wale
Suala la wachezaji kuhama hata wakiwa na umri mkubwa me sijapinga popote ila issue ya mchezaji kuhama club inaanzia kwa club kumtaka si kwamba anajiamulia nataka kucheza club fulani, kwa hiyo hadi club/kocha husika anamtaka ni obvious anakuwa na mipango naye kutokana na attributes alizo nazo.

Issue ya Ozil ni tofauti na unacho kisema, yeye kakutwa na kocha ambaye ameshindwa kuendana na falsafa za kocha.
wachezaji wanahama kila kukicha tena wakiwa na umri mkubwa tu na timu wanazoenda zina mifumo na tactics tofauti... Kwani huyu ozil yeye ni jiwe?? Wewe sema kakutana na wachezaji hawajielewe.
 
Alikuwa Madrid yenye wachezaji wenye viwango vya maana kama Alonso, Khedira, Di Maria, Bale, Benzema etc na bado akaambiwa hahitajiki. Yaani kwa kifupi ye ndiyo anategemea 'mbeleko' ya wenzie.
Tatizo sio Ozil, tatizo ni timu/aina ya wachezaji anaocheza nao. Kazoea kucheza na players wenye viwango vya maana.
 
Yaani leo hii mnaombea Sheffield United afunge ndio mpumue


Aisee


Kweli dunia duara
Uwezo wetu wa sasa, sababu ya kocha na motherfucker uongozi umesababisha tufike huku kwenye relegation zone!

Acha tuwaombee njaa Brighton, Burnley and Fulham

Mpaka muda huu hakuna official statement toka Arsenal that's means wameridhika na matokeo ya Mechi 10 na kushinda 1
 
Mzee wangu alisema nikibadi ninaweza punguza hiyo span ya miaka 3. Vipi umejaribu huu mtindo?
Hiyo miaka 3 ni grafted otherwise it takes much longer period. Nakushauri kama ni mwenyeji wa huku changamkia hiyo fursa, usije sema ningejua. Nipo shambani jioni ndio nakuja kwenye hiki kijiwe chetu cha Gunners.
Tunachofanya ni ku-graft ili tupate HASS
 
Alikuwa Madrid yenye wachezaji wenye viwango vya maana kama Alonso, Khedira, Di Maria, Bale, Benzema etc na bado akaambiwa hahitajiki. Yaani kwa kifupi ye ndiyo anategemea 'mbeleko' ya wenzie.

Ehee...jomba punguza chuki hata kidogo basi mwisho wake utaonekana tahira sasa.

Alikuwa anategemea mbeleko za akina Nani??

Angekuwa anategemea mbeleko za wengine angekuwa first-choice ya Morinho mbele ya Ricardo Kaka?

Kwanza unajua alichokisema Cristiano baada ya Ozil kuondoka real Madrid???

Hebu elezea hizo mbeleko zilikuwaje.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Ehee...jomba punguza chuki hata kidogo basi mwisho wake utaonekana tahira sasa.

Alikuwa anategemea mbeleko za akina Nani??

Angekuwa anategemea mbeleko za wengine angekuwa first-choice ya Morinho mbele ya Ricardo Kaka?

Kwanza unajua alichokisema Cristiano baada ya Ozil kuondoka real Madrid???

Hebu elezea hizo mbeleko zilikuwaje.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Kama unaelewa maana ya quotation ('...') usinge kurupuka, afu ungefatilia niliyekuwa najibizana naye tumeanzia wapi, kimsingi nimejibu according to his own 'folly'.

Baada ya yeye kusema Ozil amezoea kucheza na wachezaji wa maana ambao Arsenal hawapo ndio maana haperform vizuri ndio nikampa huo mfano wa Madrid.
 
Screenshot_20201220-194015_All%20Goals.jpg
 
Back
Top Bottom