Hahahahahahaha namsalimia sana huyo mwanangu sanaNaona Dully Jr umekuja ki vingine
Hii ni app gani
Ndugu yangu haya tulishayasema na kwa nionavyo yatazidi kujidhihirisha tu"It took klopp four years to get Liverpool where they are today, Arteta has just 323 days as a head coach"- IAN WRIGHT 24/October
Kiukweli huyu Arteta atupishe, aendelee kuwa shabiki tu kama sisi
Unajua anaweza kutushusha daraja kimzaha mzaha hivi hivi.
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Nimekuelewa hapo kwenye hilo $&%*#@ uongozi. Cheki screenshot hiyoUwezo wetu wa sasa, sababu ya kocha na motherfucker uongozi umesababisha tufike huku kwenye relegation zone!
Acha tuwaombee njaa Brighton, Burnley and Fulham
Mpaka muda huu hakuna official statement toka Arsenal that's means wameridhika na matokeo ya Mechi 10 na kushinda 1
HahahaahahahahahahEhee...jomba punguza chuki hata kidogo basi mwisho wake utaonekana tahira sasa.
Alikuwa anategemea mbeleko za akina Nani??
Angekuwa anategemea mbeleko za wengine angekuwa first-choice ya Morinho mbele ya Ricardo Kaka?
Kwanza unajua alichokisema Cristiano baada ya Ozil kuondoka real Madrid???
Hebu elezea hizo mbeleko zilikuwaje.
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Yaani acha kabisa... Mimi mwenyewe nilimjibu mshikaji bila hata kuangalia wamefikishanaje hapo na mwenzie.Hahahaahahahahahah
Jombaa timu yetu tumevurugwa. Huku washabiki tumevurugwa balaa eti Leo ozil amekuwa hafai kwa mchuzi wala kwa kachumbari
Atupishe tu kwakweli labda kutokuwepo kwake itakuwa ni auheni ya timu.Ndugu yangu haya tulishayasema na kwa nionavyo yatazidi kujidhihirisha tu
Hapana. Ulivyoanza kuandika ni kama vile ulikua unataka andika hoja kisha ukashikwa na uchungu ukahama hoja ukaenda kwingine uchungu ukakuzidia kisha ukaona uhitimishe bila kueleweka.Naweza amini, kwa vipigo Arsenal mnapokea ni rahisi shabiki kuwa confused na asielewe chochote![]()
Huu wanatufanyia ushenzi huu.Uwezo wetu wa sasa, sababu ya kocha na motherfucker uongozi umesababisha tufike huku kwenye relegation zone!
Acha tuwaombee njaa Brighton, Burnley and Fulham
Mpaka muda huu hakuna official statement toka Arsenal that's means wameridhika na matokeo ya Mechi 10 na kushinda 1
Mimi sio shabiki wa arsenal but this is bullshit..Hatimaye nimeelewa ni kwa nini Ozil aliondolewa kwenye kikosi. The Arsenal I knew wouldn’t have put itself in a position where a player is able to tweet after a game, hinting at division and undermining the manager, as Ozil has done. I believe arteta was angered by this. msitafute mchawi. Na hizo ndio footballing reasons
Karibu mkuuMkuu niruhusu nije kufuata elimu ya Sungura kama hutojali