Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mchezo wa Jana dhidi ya Burnley tulicheza vizuri mno hadi Granit Xchaka alipopata kadi nyekundu kwa kushindwa kujizuia hasira zake dhidi ya mchezaji wa Burnley.

Binafsi naamani timu yetu haitashuka daraja na wala haitatokea Arsenal kushuka daraja, sisi ni wajuu. Hakuna wa kutushusha chini, hiki tunachopitia ni kipindi cha mpito ambacho hakina muda mrefu tutakivuka.

Hawa ambao wanatabiri eti Arsenal mwaka huu inashuka daraja, wanaota ndoto ya mchana. Tumecheza almost mechi 12, bado tuna mechi zaidi ya 26.

Tuna nafasi ya kumaliza top 4 mwaka huu iwapo tutafanyia kazi mapungufu madogo yaliyopo. Bado tunakikosi kizuri zaidi ya timu ya Man utd, Chelsea, pamoja na Spurs waliopo juu yetu.

Tuendelee kuisupport timu yetu.

Forever Gunners
acha kutufurahisha

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
13 points siyo mechi 4 maximum, mechi nne ni 12 points.

Arsenal hawezi kushinda game 5 halafu Tottenham na Liverpool wapoteze 5 kila mmoja.

Kwenye hesabu kuna kitu wanaita extrapolation:

Tottenham/Liverpool wana points 25 kati ya 36 (12 games points). Nyie Arsenal mna 13 points out 36.

Mechi 38 ukishinda zote max points ni 114.

Sasa ukifanya hiyo extrapolation unapata:

Tottenham/Liverpool: 25/36 x 114 = 79.

Arsenal 13/36 x 114 = 41.

On assumption kwamba kila kitu kitaenda kama kinavyoenda.

NB: Kwa mahesabu hayo hapo juu, simwoni Arsenal akivusha points 56 kwa michezo iliyobaki.
Sawa Mkuu, but natumai hiki kikombe tutakivuka salama licha ya changamoto zilizopo.

Juu tunarudi mapema January 💪💪💪
 
Yule kipa Martinez tulifanya kosa kubwa kumuuza wakati golini umeacha shati tu lenye viraka. Sisi kama Arse8 halisi tunasema kwa bei ya Martinez tuliyomuuza nayo tumepigwa pale..
Partey tumepigwa..
Auba baada ya kudondosha wino sasa anakunja £300k+ hivyo tumepigwa..
Willian alijua kusoma nyakati akaona pa kuchukulia penshen ni kwetu Arse8 hivyo bila kusita akaja, sasa anakunja £100k+ tumepigwa..
Pepe tunayelipa kwa mafungu tumepigwa..
Arteta tumepigwa...
Willian analipwa zaidi ya 200k per wiki

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Hivi kuna fwalaa bado anashabikiaa arsenal???? Hii sio timuu ni kikundi cha vibakaa
 
Kuwazomea ni aibu ! Polen wakuu , muache ngebe kubishana na wanaume, ligi ilivyoanza mlishinda vimechi kadhaa mkasema nyie Ni title contenders,,,,

Arteta aliimbwa kwa kila aina ya pambio !!
 
Hapo game ya kwanza kabisa kushinda ni ya Chelsea, inakuja game ya Carabao na hao wengine watalamba dawa kama kawaida


Haya maneno yako hayana tofauti na ndoto za alinacha. Endelea kuota boxing day nikupe zawadi yako ya Christmass

Arse
 
Mkuu, kwangu mimi, wewe ndie shabiki wa Arsenal hapa JF.

Kwanza nina imani hii timu haujaipendea jersey kama Dully Jr na genge lake.

Endelea kua na moyo kama huo ipo siku zitarudi zile zama za kuchukua ubingwa bila kufungwa.
Unapeeenda mwenyewe
 
Mara zote ndoto za mchana zinakuwa hivyo, sikushangai.
Wewe sio wa kutuombea Mabaya namna hiyo.

Kama tunavumilia maumivu ya msoto mkali wa maisha, stress za ndoa kwa miaka na miaka sembuse Arsenal hii ambayo kuanzia January inarudi kileleni.

Kama nilivumilia kipigo cha 8-2 kutoka kwa Man utd, kipigo cha 5-1,5-1, kutoka kwa Buyern sishindwi kuvumilia matokeo haya ya mpito.

Wacha kama kuniua Arsenal na iniue mwaka huu💪💪💪
 
Wewe sio wa kutuombea Mabaya namna hiyo.

Kama tunavumilia maumivu ya msoto mkali wa maisha, stress za ndoa kwa miaka na miaka sembuse Arsenal hii ambayo kuanzia January inarudi kileleni.

Kama nilivumilia kipigo cha 8-2 kutoka kwa Man utd, kipigo cha 5-1,5-1, kutoka kwa Buyern sishindwi kuvumilia matokeo haya ya mpito.

Wacha kama kuniua Arsenal na iniue mwaka huu💪💪💪

Sawa mkuu, kama nilivyoandika juu kule, mimi ni kuzomea na kushangilia.
 
Adjustments.jpg
 
Mchezo wa Jana dhidi ya Burnley tulicheza vizuri mno hadi Granit Xchaka alipopata kadi nyekundu kwa kushindwa kujizuia hasira zake dhidi ya mchezaji wa Burnley.

Binafsi naamani timu yetu haitashuka daraja na wala haitatokea Arsenal kushuka daraja, sisi ni wajuu. Hakuna wa kutushusha chini, hiki tunachopitia ni kipindi cha mpito ambacho hakina muda mrefu tutakivuka.

Hawa ambao wanatabiri eti Arsenal mwaka huu inashuka daraja, wanaota ndoto ya mchana. Tumecheza almost mechi 12, bado tuna mechi zaidi ya 26.

Tuna nafasi ya kumaliza top 4 mwaka huu iwapo tutafanyia kazi mapungufu madogo yaliyopo. Bado tunakikosi kizuri zaidi ya timu ya Man utd, Chelsea, pamoja na Spurs waliopo juu yetu.

Tuendelee kuisupport timu yetu.

Forever Gunners
Aisee, mkuu una moyo sana. Safi sana ila bahati mbaya ni kuwa hakuna matokeo mazuri bila proper planning. Timu yenu iliingia kwenye project na Arteta kichwa kichwa bila kujipanga vizuri.

Inabidi mkubali kurudi nyuma alipoishia mzee Wenger ndiyo muanze planning. Vinginevyo kwa hizo project za ki-arteta arteta au ki-ole ole hamtoboi nawaambia.

You need some serious planning behind closed doors. Mbona inawezekana. Kwa nini msijifunze kwa wenzenu Liverpool wamefanyaje project yao. Chelsea pia wana project nzuri na unaweza ona kikosi chao kitakuwa tishio kiasi gani misimu miwili ijayo.

Sijataja Spurs kwa kuwa mtanimind bure
 
Back
Top Bottom