Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nimewahi kusema hapa na narudia kusema,Arsenal tatizo si kocha

Arsenal Tatizo kubwa ni mmiliki .

Kuna mtu(Shabiki wa Arsenal) niliwahi kumuelewesha kipindi flani ambako Unai emery anatimuliwa na Nkamwambia Arsenal tatizo si Unai bali tatizo lipo kwa mmiliki!,hakutaka kunielewa bali alisema "Ngoja sasa Arteta apewe timu halafu uone kama Arsenal hajabeba ubingwa"

Nilijitahidi sana kumuelewesha namna ninavyoifahamu hii timu toka nilipokuwa Shabiki rasmi toka enzi za miaka ya 2000 lakini kijana aligoma katakata na kusema "Tatizo la Arsenal ni kocha"

Leo hii tena Arteta hafai!,najua mashabiki watapiga domo Arteta atimuliwe ili walete kocha mwingine huku wakiendelea kujifariji ya kwamba tumeleta kocha mpya na ubingwa tutachukua!
Huwezi kutaka kumuua nyoka halafu umpige kwenye mkia badala ya kupiga kichwa,HAIWEZEKANI!

NARUDIA TENA ,TATIZO LA ARSENAL SI KOCHA BALI NI MMILIKI BWANA KROENKE!

Ninaifahamu Arsenal ndani na nje hivyo watu huwa wakiongea eti tatizo ni makocha,huwa nabaki nawatizama tu!

Nina pointi nyingi za kuwatetea makocha na nina pointi nyingi za kuelezea kwanini Bawana Kroenke hafai!


USIKU MWEMA,LALENI KWA MAUMIVU
Msitake kumtupia lawama mmiliki.

Nyie watu vipi??? Mnashangaza sana kwa kweli. Haya tufafanulie mmiliki tatizo lake liko wapi hapa??
 
Nimewahi kusema hapa na narudia kusema,Arsenal tatizo si kocha

Arsenal Tatizo kubwa ni mmiliki .

Kuna mtu(Shabiki wa Arsenal) niliwahi kumuelewesha kipindi flani ambako Unai emery anatimuliwa na Nkamwambia Arsenal tatizo si Unai bali tatizo lipo kwa mmiliki!,hakutaka kunielewa bali alisema "Ngoja sasa Arteta apewe timu halafu uone kama Arsenal hajabeba ubingwa"

Nilijitahidi sana kumuelewesha namna ninavyoifahamu hii timu toka nilipokuwa Shabiki rasmi toka enzi za miaka ya 2000 lakini kijana aligoma katakata na kusema "Tatizo la Arsenal ni kocha"

Leo hii tena Arteta hafai!,najua mashabiki watapiga domo Arteta atimuliwe ili walete kocha mwingine huku wakiendelea kujifariji ya kwamba tumeleta kocha mpya na ubingwa tutachukua!
Huwezi kutaka kumuua nyoka halafu umpige kwenye mkia badala ya kupiga kichwa,HAIWEZEKANI!

NARUDIA TENA ,TATIZO LA ARSENAL SI KOCHA BALI NI MMILIKI BWANA KROENKE!

Ninaifahamu Arsenal ndani na nje hivyo watu huwa wakiongea eti tatizo ni makocha,huwa nabaki nawatizama tu!

Nina pointi nyingi za kuwatetea makocha na nina pointi nyingi za kuelezea kwanini Bawana Kroenke hafai!


USIKU MWEMA,LALENI KWA MAUMIVU

Hapana nakukatalia, pengine hujui, the owner has provided all financial supports required
 
Mamamamaeee katika EPL kwenye kucreate chances ni wa 20 ,short on target wa 18,Goal tulizofunga ni wa 17 ,nani katuroga Arsenal??

Bila Arteta Kuondoka Arsenal kuanzia leo kuna hatari ya kuwa wa 18 na sitashangaa kwa hilo kama statistics zinavyojieleza, Arteta hatakiwi kuwa Arsenal amefeli mechi 9 unafungwa 6?hapa kocha hatuna but sababu Edu wamepiga hela kwenye kumleta wakampa hadi cheo cha umanager sijui watamtoaje
Nawatakia usiku mwema!nawakumbusha mashabiki wenzangu next games ni Southampton Everton then Chelsea hivyo kuwa wa 18 au kuwa championship haitakuwa jambo la kushangaza this season!Arteta bila kuondoka Arsenal matokeo yatakuwa hayahaya !Arsenal inahitaji kocha wa mwenye quality kubwa ya kidunia kwa sasa tangia 1959 leo tunarecord ngumu utasemaje Arteta ni kocha anayehitaji muda huku kafungwa mechi 4 mfululizo Emirates na kafunga goli 1 katika hizo Mamamamaeee na nimeamshwa na Girlfriend wangu ananiambia tumefungwa nkacheka sana kuona watu bado wanaenda kibanda umiza hahahaha huku kocha bado Arteta
 
Timu haichezi vizuri. Kisha kuna mchezaji mmoja mmoja wanaofanya hali izidi kua ngumu.

Game dhidi ya Leeda Pepe aligewa red kwa kosa la 'violent conduct' game ilipoisha Tierney akamfuata mchezaji wa Leeda na kutaka kuanzisha ugomvi.

Akazuiwa. Aliyemzuia ni nani? Xhaka. Adams akasema "Kwa muda ule ilibidi Xhaka aungane na Tierney" anyway so kama mshkaji alimzuia Tierney asianzishe ugomvi kisha yeye anarudia kosa la 'violent conduct' tena muda mechi inaendelea haya si makusudi haya?

Am pretty sure wachezaji walijua hii ndiyo game wanayotakiwa kushinda ndiyo maana wengi waligewa yellow kwa kosa la 'argument'

Arteta alimpoint Aouar kwanini dili ilivyoonyesha kufeli hakuenda kwa mbadala wa Aouar. Hii inamaanisha alimfuata Aouar huku hana mbadala? Inawezekana vipi eneo la muhimu kama hilo akafuata mtu mmoja tu?

Kinachotokea kwa Arteta sasa hivi kilitokea kwa Emery kabla hajafukuzwa, timu za juu zinasuluhu na kufungwa unatakiwa ushinde game usogew top four wewe unafungwa tena.

Leo tungeshinda tungekua 14th yaani tungeruka nafasi moja tu na kumchomoa Leeds, ingekua poa as tungekua hapo na tungeshinda tena tungefika kwenye nafasi ya 9.

Kuna mmoja atajiuzulu hapa.
 
Back
Top Bottom