How soon is soon?Soma sentensi ya mwisho utaelewa
Bwana hamna kitu kama hicho we ukisikia wapi....we mwana acha uongo duh.....haaahaaaaaSo unabisha kwasababu hujawahi kuona au unabisha kwa kutokujua?
Kwanza tunaelewana?
Very soonHow soon is soon?
Kama Jana









Wamekufa haoLeo nimekuja kuwakera watu wa Arsenal. Will Jr, Aroon mpo wapi





Mbona huonekani tena jukwaani mkuu




Hahahahahahahahahahahahahahahahaaaaa...Nimecheka sana
Timu imeshafungwa Goli 2 halafu kocha anafanya substitute ya Game Changer ni Edward Nketiah hahahahahahahahah.
Arsenal tayari ni AVERAGE TEAM ALREADY.
Hizi watabahatika kupata angalau draw mojaArsenal tumecheza vizuri sema bahati haikuwa yetu.
Next arsenal games
Southampton
Everton
Man city
Chelsea


Bado wamemfukuza na Ozil ..dah ndo balaa linapozidi.Arteta hana makosa, ni kocha mzuri hata akija Chelsea tutaendelea kukiwasha, Tatizo la Arsenal hamkuachana vizuri na Wenga. Mrudfisheni Wenga kama anaondoaka mumlazimishe aache baraka zake
Kaa sababu waliwafungaaKwangu mimi, Ars8 hata akifungwa mechi mia, bado nitamuombea njaa tu.
Sababu siwapendiiiiiiiiii






Hawa ni mbuzi tu ..sasa wameungana na mbuzi wenzao wote watacheza EuropaEti nyie Mbuzi, ila we jamaa.




