Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tunaweka record sawa. Mmekuwa wa 16 hadi muda huu.
Screenshot_20201207-232836_Goal%20Live.jpg


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
We bwana wewe . Makombe yako mengi tu pale juu mwanzoni mwa "sredi" yetu sema ni makombe ya mbuzi kwa kweli. Sema siyo ishu maana hata Chelsea Jose alipoishika ilikuwa na kakombe kamoja tu tena ka miaka 50 iliyopita (nusu karne!).

Respect Jose
Kiukweli naamini Jose atawapatia kitu.

Hii performance ni anaifanya huku akiwa ana maingizo machache so misimu kadhaa mbele atakua anashinda bila kupaki basi na wewe ndiyo utazidi kusema "London is white"
 
Sawa Sawa mzee baba
Ha ha haa. Mie ninayo falsafa yangu moja hiyo. "Huwa sikai upande mmoja na kitu ambacho hakitafuti mafanikio". United ilinitesa sana kwani hata Woodward kaendelea kusisitiza hapo juzi kati kuwa malengo yanatekelezwa vizuri kabisa; kujenga timu kupitia vijana chipukizi, kucheza mpira wa kushambulia, na kucheza mpira unaovutia!

Sasa mimi nilizoea kipindi cha SAF lengo lilikuwa ni moja tu, kushinda mataji. Iwe kwa kushambulia, comeback, au kilinda goli moja kama mwali vile. Kwa hiyo baada ya kuvumilia vituko vya timu kwa miaka 6 tangu 2013 mpaka 2018 nikasema inatosha mimi nimezoea kushangilia timu inayolenga mafanikio ya uwanjani.

Bahati nzuri nikaishia kuipenda project ya Spurs. Siyo shabiki maandazi! Ni Spurs asilimia .

Kwa kifupi ni hivyo. Nipo sana tu.
 
Pole sana wana Arsenal kwa kufiwa na shabiki kindakindaki nimeshindwa kudanlod picha. Mashibiki wenzangu japo tunakuwa na mapenzi na timu fulani lakini tujitaidi kukontrol hisia zetu kwenye ushabiki.

Huyo shuhuda anasema jamaa alipatwa na hasira baada ya TOT kufunga goli la pili. Tukio limetokea nchi jirani kenya

Pumzika kwa Amani Shabiki wa Asernal

IMG_3778.JPG
IMG_3777.JPG
IMG_3776.JPG
IMG_3781.JPG
IMG_3779.JPG
 
Manchester United akifafanya vizuri (akichukua makombe) usisite kurudi tena.

Unachotakiwa kufanya ni kubadili ID tu.
Ha ha haa. Mie ninayo falsafa yangu moja hiyo. "Huwa sikai upande mmoja na kitu ambacho hakitafuti mafanikio". United ilinitesa sana kwani hata Woodward kaendelea kusisitiza hapo juzi kati kuwa malengo yanatekelezwa vizuri kabisa; kujenga timu kupitia vijana chipukizi, kucheza mpira wa kushambulia, na kucheza mpira unaovutia!

Sasa mimi nilizoea kipindi cha SAF lengo lilikuwa ni moja tu, kushinda mataji. Iwe kwa kushambulia, comeback, au kilinda goli moja kama mwali vile. Kwa hiyo baada ya kuvumilia vituko vya timu kwa miaka 6 tangu 2013 mpaka 2018 nikasema inatosha mimi nimezoea kushangilia timu inayolenga mafanikio ya uwanjani.

Bahati nzuri nikaishia kuipenda project ya Spurs. Siyo shabiki maandazi! Ni Spurs asilimia .

Kwa kifupi ni hivyo. Nipo sana tu.
 
Manchester United akifafanya vizuri (akichukua makombe) usisite kurudi tena.

Unachotakiwa kufanya ni kubadili ID tu.
Ukitaka kunielewa nisome baina ya mistari. Vinginevyo ndiyo kama hivyo utaishia kuniona shabiki maandazi tu . Soma tena unielewe braza. Hoja kwangu siyo kutokuwa na vikombe, hoja ni kutotafuta vikombe. Halafu pia upendo ukiisha umeisha.
 
Mimi ni shabiki wa damu siwezi hama timu yangu kwa matokeo mabaya ina maana wale mashabiki maandazi wa karne hii ya 21 wanaweza kuhama huwezi kumbadili chui ngozi yake au huwezi kubadili kabila lako au huwezi kumbadili mtoto wako wa kumzaa hii yote ni mifano ninakupa hili chama langu nimetoka nalo mbali sana toka 94 mpaka sasa na mpaka naingia kaburini nitabaki kuwa The Gunners au washika mtutu wa London mlio kuwa mashabiki maandazi mtaondoka na mtatuachia chama letu tutaendelea kusonga mbele hakuna barabara isiyokuwa na mabonde na milima ya kupanda na kushuka ninashangaa sana mwanaume mwenye mke na watoto analilia lia na kuhama timu eti kisa kufungwa hakuna timu isiyofungwa duniani kama wewe ni shabiki kindakindaki mwanaume lazima ukubali kuwa matokeo yapo aina tatu kushinda, sare na kufungwa haya yote ni matokeo lazima uyakubali.
Always I support The Gunners and London is Red for ever and ever!!
Nakubali msimamo wako ila ukitaka kuitendea haki comment yangu yakupasa uisome na kuielewa. Usipoielewa ndiyo kama hivyo.
 
Pole sana wana Arsenal kwa kufiwa na shabiki kindakindaki nimeshindwa kudanlod picha. Mashibiki wenzangu japo tunakuwa na mapenzi na timu fulani lakini tujitaidi kukontrol hisia zetu kwenye ushabiki.

Huyo shuhuda anasema jamaa alipatwa na hasira baada ya TOT kufunga goli la pili. Tukio limetokea nchi jirani kenya

Pumzika kwa Amani Shabiki wa Asernal

View attachment 1644537View attachment 1644538View attachment 1644539View attachment 1644541View attachment 1644542
Kwa ninavyojua namna mtu anavyojiua akili yake inavyofanya kazi huo umbali wa miguu ungetosha kumfanya ajiokoe kwa kuchuchumalia.

Katika vifo vya kujiua wengi huchagua kujinyonga lakini ndiyo njia ngumu kuipita as waweza tumia zaidi ya dk 5 haujafa ila ni maumivu, kuachia haja zote mbili kwa wakati mmoja na machozi.

That guy angeweza epuka yote hayo kama angeamua kuchuchumalia tu vidole gumba.
 
Manchester United akifafanya vizuri (akichukua makombe) usisite kurudi tena.

Unachotakiwa kufanya ni kubadili ID tu.
Mwenzako katoa siri alikua man u. Na wewe ulikua wapi? Maana unashinda jukwaa la Arsenal kuliko mashabiki wake.
 
Pole sana wana Arsenal kwa kufiwa na shabiki kindakindaki nimeshindwa kudanlod picha. Mashibiki wenzangu japo tunakuwa na mapenzi na timu fulani lakini tujitaidi kukontrol hisia zetu kwenye ushabiki.

Huyo shuhuda anasema jamaa alipatwa na hasira baada ya TOT kufunga goli la pili. Tukio limetokea nchi jirani kenya

Pumzika kwa Amani Shabiki wa Asernal

View attachment 1644537View attachment 1644538View attachment 1644539View attachment 1644541View attachment 1644542
Humu katika huu uzi ukipost lazima ujue kuna watu wana akili pia.

Nilijiuliza shabiki kindaki ndaki anawezaje kua na jezi ya zamani?

Recently imekua kawaida kusikia shabiki wa Arsenal kajiua Kenya. Na picha ya ushahidi ni hii hii.

Nimeingia google with few clicks majibu yamekuja. Hiyo ni taarifa ya mwaka 2009 ikiwa imeripotiwa na blog uchwara moja hivi.

Wapuuzi wachache wanashindwa kujizuia kuacha upuuzi.

Screenshot_20201208-133835.jpg
 
Msimu uliopita mlibahatisha kwa kuwa timu ilikuwa ya kuungaunga ila msimu huu, ngoja kwanza nicheki game na nyie lini niandae mahindi ya kukaanga mapema. Moja baada ya jingine, mjini wanayaita pop kon.
Mkuu kweny mpira hakunaga kubahatisha. Maimu uliopita mimi ndio nilikua mbovu kwa kakikosi kilichojaa makinda lakini bado ukaahindwa kunifungasasa msimu huu nimefanya usajili halafu jinsi tulivyocheza ndio nikagundua Mou ni mweupe na anafungika kirahisi sana.

Soon haya nayoongea yatajidhihirisha
 
We bwana wewe . Makombe yako mengi tu pale juu mwanzoni mwa "sredi" yetu sema ni makombe ya mbuzi kwa kweli. Sema siyo ishu maana hata Chelsea Jose alipoishika ilikuwa na kakombe kamoja tu tena ka miaka 50 iliyopita (nusu karne!).

Respect Jose
Shika adabu yako nyie msioijua Chelsea ndio mnaosemaga ya 2004. Eti unasema kombe la miaka 50 nyuma! Nakupa homework nenda ka google kabla ya mwaka 2000 Chelsea ilikua na makombe gani?

Kheri usiiongelee kabisa kuliko kuwapotosha hawa watoto
 
Kufukuza kocha siyo issue. Issue ni picha kubwa inayoambatana na kubadili kocha. Timu inapobadili kocha inabidi ijue pia itapaswa kuingia kwenye mradi mpya wa usajili. Mfano mzuri ni Liverpool. Walipoamua kuingia kwenye project mpya (2015) walitafuta kocha anayeendana na wanachotaka. Wakaanza kumpa kikosi anachotaka taratibu.

Imewachukua Liverpool misimu minne kuanza kuvuna walichopanda. Klopp hakuanza kupata mafanikio mpaka pale alipopata mchezaji wa mwisho aliyemtaka (kipa). Ungedhani kuwa Liverpool iko tayari kushindana baada ya kumsajili VVD, lakini bado kipa aliwaangusha. Walianza kutwaa mataji baada ya kuleta kipa ghali zaidi duniani wakati wakimsajili.

Angalia Spurs (japo wengi mnawadharau ila project yao ni master class). Baada ya kukamilisha project ya uwanja na kwamba project yao ya awali na Poch (ya wachezaji 7; akina Son, Dele, Kane, Lamela, Dier, nk) ilikwisha anza kuzeeka wakaamua kuingia kwenye project mpya ya kujenga kikosi.

Lakini walijiuliza ikiwa Poch ndiye kocha sahihi kulingana na malengo yao. Wakaona wamfute kazi kocha aliyetoka kuwafikisha fainali ya uefa ambayo hakuna aliyetarajia! Wakaona wamwajiri Mourinho lakini wakijua fika atataka kikosi chake.

Levy alimbipu Jose kwenye dirisha la January kwa kumpa wachezaji wasio chaguo lake. Jose hakujibu akaacha wajijibu wenyewe (kati ya sajili tatu; Bergwijn, Gedson na Lo Celso, ni moja tu inayofanya kazi, ya Lo Celso).

Dirisha lililofuata wakampa wachezaji 7 wapya na sasa Spurs ndiyo timu inayoogopwa zaidi (kimatokeo: achana na habari za beautiful football). No dhahili pia kuwa January ijayo watampa anachotaka yaani beki ya kati inayocheza kuchoto.

Ukijumlisha sajili za mwaka mmoja wa kwanza wa Jose ni wachezaji 10!

Sasa swali kwenu Arsenal mnaotaka Arteta aondoshwe, je timu yenu ina ubavu na utayari wa kumpa kocha mpya kikosi anachotaka? Kama jibu ni hapana basi mjue atakuja kocha mpya, atapewa wachezaji wawili watatu ili mgt ijivue lawama kisha naye hamalizi misimu miwili.

Huo ugonjwa wa poor planning ndiyo pia unaitafuna timu yangu ya zamani. Na yenyewe tangu babu astaafu malengo yake ya msingi ni kukuza zaidi biashara kuliko soka huku wakifanikiwa kuwahadaa mashabiki kwa kujificha kwenye kichaka cha "beautiful attacking football".
Fukuza hiyo kenge Arteta fukuzilia mbali.
 
WE ulisikia wapi......Sijawahi kuona hyo kitu labda hapa bongo....kwamba game inachezwa jioni afu official starting eleven inatoka asubuhi....labda ligi za china
So unabisha kwasababu hujawahi kuona au unabisha kwa kutokujua?

Kwanza tunaelewana?
 
Kusoma koment kutoka kwa shabiki anayejua mpira kuna raha ya bwana. Ukweli mtupu. Hapo kwa Levy ongezea nyama kidogo. Jamaa ni football genius na malengo yake ni vyote viwili: Kufanikiwa uwanjani na nje ya uwanja. Hivyo kafanya ubahili kwa miaka takriban 10 ili kujenga miundombinu ya klabu (hasa uwanja) kisha sasa karudi kiwanjani.
Kwenye list ya timu zilizotumia pesa isiijumuishe Tottenham, pale ni exchange, mikopo na sajili za bei za kawaida kabisa
 
Mkuu kweny mpira hakunaga kubahatisha. Maimu uliopita mimi ndio nilikua mbovu kwa kakikosi kilichojaa makinda lakini bado ukaahindwa kunifungasasa msimu huu nimefanya usajili halafu jinsi tulivyocheza ndio nikagundua Mou ni mweupe na anafungika kirahisi sana.

Soon haya nayoongea yatajidhihirisha
Mlimfunga ngapi?
 
Back
Top Bottom