Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nipo njiani safari. Mnaoangalia game tuna dalili ya come back au miyeyusho?
 
Morihno atawapiga tano kazaneni msifungwe tano nawaelewa hawa jamaaa mnatutia aibu
 
Arteta hana maajabu kwa sasa amefeli na uwezo wake umeishia hapo ,ntashangaa sana next week akiwepo emirates na kama atakuwepo mashabiki watamchafua kwa matusi na mabango na kimasihara tutajikuta championship (najua ni ngumu kuona hili ila amini nakwambia ukifungwa namna hii mfululizo kuwa championship ni normal thing)
 
Back
Top Bottom