Kwani ozil siku amekuwa defender?Matatzo yetu ni yale yale ATTACKING MIDFIELDER
Mou yuko njema sana kwenye tactics!!Kwa mbinu za Morinyo game limeshaisha, mtacheza hapo golini kwake wiki nzima hakuna kupata goli
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kila mtu ashinde mechi zake mkuu
Ndoo hivoo sasa ingekuwaje hata wewe ukifikiria?
Aroan yuko wapi kitamb hajachangia
Mou huwa anaamini ni hatari kuwa na mpira kuliko kutokuwa na mpiraYani una possession ya 70 alafu unadundwa
Kumbuka huyo kipepe hakununuliwa na Cash,bali zilikuwa pesa za mafungu mafungu,na hii ndo Biashara anayoipenda kroenkePesa aliyotoa kwa KIPEPE ingenunua Ziyech + Werner + Pulisic.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Mkuu,Wacha tupambane kivyetu.
Naona mmeshindwa kutusaidia.
Muda wa kuwakera sasa
Yeah tushafanya sana.Kwani mshawah kufanya comeback tangu arteta awe jocha wenu...
Kuwa?serious bana
Mbona umeidharau hvy timu yangu Chelsea.?Arteta hana makosa, ni kocha mzuri hata akija Chelsea tutaendelea kukiwasha, Tatizo la Arsenal hamkuachana vizuri na Wenga. Mrudfisheni Wenga kama anaondoaka mumlazimishe aache baraka zake