Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa fixture hii tutegemee Ars8 kushuka daraja.
Sioni anamfunga nani hapo!

Dully Jr Unaruhusiwa kubadili ID uje kivingine.
Usione haibu kufanya hivyo kwani hauta kua wa kwanza kufanya hivyo, hata PAPAA GX anajiita sijui nani vileeeeh
Arsenal tumecheza vizuri sema bahati haikuwa yetu.

Next arsenal games


Southampton
Everton
Man city
Chelsea
 
Hivi kwanini unataka kunigombanisha na ndugu zangu wa humu?

Anyway sijaangalia game sina cha kusema.

Tatizo la timu lilikuwa kwenye umaliziaji, second half we play better only that there was no one to finish the moves. Aubameyang was totally rubbish, afadhali lacazette kaonekana. Arsenal ingekuwa gari ningesema linahitaji major overhaul including the coaching staff
 
Aseno in relegation zone
Screenshot_20201206-220306_All%20Goals.jpg
 
Kila siku nawaambia hata kama wakileta kocha gani hapo Arsenal hakutakuwa na kipya.


BILA BWANA KROENKE KUTOA PESA YA USAJILI ILI KUMPA KOCHA AKANUNUA MCHEZAJI YEYOTE ANAYE MTAKA,MWAKA HUU ARSENAL ANASHUKA DARAJA
Nasema tena na tena. Kroenke msitake kumsingizia.

Ndani ya misimu miwili katoa zaidi ya GBP 200M
 
Poleni sana Arsenyonyo kwa kipigo, Mungu awatie nguvu maana hamkawiii kujinyonga
 
Hahaha, noma sana.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Noma sana bro. Ila unajua nini, arteta anajikuta tu kashakuwa kiji-Guardiola flani hivi.

Upuuzi mtupu. Nenda katafute stats za arsenal with and without Guendouzi utaelewa. Willian si uharo mtupu, willock ni wa kubakishwa hapa???

Eti ozil ameachwa for football reasons
 
Arteta hana makosa, ni kocha mzuri hata akija Chelsea tutaendelea kukiwasha, Tatizo la Arsenal hamkuachana vizuri na Wenga. Mrudfisheni Wenga kama anaondoaka mumlazimishe aache baraka zake
HUYO ARTETA NI KOCHA MZURI KWA LIPI?? NA HUYO WENGER MIAKA 21 KAFANYA NINI, YAANI UNAFUNDISHA TIMU MIAKA 21 UNA PREMIER 3 NA UEFA 0.
 
Back
Top Bottom