Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unapataje ujasiri wa kumnanga bingwa wa muda wote wa Uingereza

Embu rudi haraka kwenye jukwaa lenu mpige ung'eng' (Sory kumbe jana mliambulia draw)

Najua wewe unawaheshimu Arsenal kupigwa 3, maana wewe ulilambwa na hao Vila goli 1,2, 3,4,5,6,7
Unapataje ujasiri wa kutembelea Jukwaa hili,

Wametoka kukutoboa last week nyumbani kwako palepale.

Nenda kamchambue Maguire kwenye jukwaa lako fanya haraka.
 
Msimu huu timu zote zile big 6 zinastruggle kua kwenye form ndiyo sababu unakuta City kala 5 na Liva kala 7 na baadhi ya mashabiki wanaamini Arsenal anaweza pambania ligi (kinyume na maono ya kocha)

So hakuna timu ambayo imekua kwenye smooth run so far, huyu aliyetufunga leo ametoka kupoteze games mbili mfululizo. Sisi tulipokua tunakutana na Man tulikua tumetoka kupoteza games tatu mfululizo.

Kila timu inahaha kuipata form.

Na zote zinalenga Januari ifike zizibe viraka ili maisha yasonge. Arsenal wanataka kuziba pengo la namba 8, 9 na 10. So the idea ni kwamba timu ijishikilie sasa hivi isurvive hii storm kisha January ijipange upya zaidi.

Ni disappointment kufungwa especially aliyekua juu kabisa alikua amesuluhu ila hili tulilopoteza ni pambano vita bado inaendelea. So bado tunapambania hii vita.

The idea is to win.

WeMove
Mkuu jinsi ulivyoandika inatoa picha mashabiki wa arsenal bado asrenal yenu hamuielewi vizuri hata arteta akija kusoma ulichoandika hawezi kuchukua ubingwa maana mnaongea vitu ambavyo havipo.tatizo mnapenda kusema uongo pale timu ikiwa na mapungufu halafu ikashinda ,kwa unavyo maanisha wewe ni kwamba kila msimu timu inatakiwa kusajiri?

mkuu ku struggle kwa liverpool kuko kwenye kukosekana kwa wachezaji wake wote wengi wapo majeruhi ndio maana unaona liverpool inapata hayo matokeo.lakini liverpool imeingia msimu huu ikiwa imekamilika haitaji kusajiri tena.ndio maana msimu uliisha hawakusajiri na wamechukua ubingwa na kikosi kilichopita.

liverpool kikosi chao wanachokitaka bado hakikutani maana akipona huyu yule anaumia wakirudi hao wote hakuna timu ya kumfunga liverpool.

kuepo na pengo kwenye 8,9 na 10 kwa arsenal inamaanisha hamuijui timu yenu vizuri,sasa hivi zimepita mechi 8 tu mnaonekana mnamapengo,mnataka usajiri tena?.kama vile hamkujiandaa.

naona mnajipa moyo msimu huu mtachukua ubingwa,hilo aliwezekani kabisa na liko wazi kabisa ,ni vizuri msidanganyane muambiane ukweli timu inamapungufu. ndio maana mkilekebisha hili lile linatokea.mnatakiwa mnaweka mapungufu yenu na kikawaida lazima mashabiki wa timu mnakuwa na mitazamo sawa kama kweli mnaijua timu yenu vizuri.inakuwa rahisi kufanyia malekebisho na sasa hivi mngekuwa mnapata matokeo mnayoyataka sasa nyinyi mnasifia hata mkibahatisha,kitu ambacho akiwasaidii , hata januari ikifika mkasajiri mtaendelea kufungwa tu na kuonekana na mapungufu.
 
Ndo uelewe kwamba haya majukwaa ni yetu sote, na kitu kinacho tukutanisha zaidi kama ndugu ni msiba.

Nisipokuja msibani kwako utanilaumu na unaweza kukata hata undugu.

Sema hapa kwenye hii familia misiba minne ndani ya mechi nane ni misiba mingi sana, ndiyo maana wenyewe mnalalamika kwa kuona eti tunakula sana msibani.

Tunawaahidi kwamba misiba ijayo tutakuja na vyakula vyetu.
hawa jamaa uelewa wao kwenye mpira ni mdogo sana , wapo baadhi ndio wanaelewa soka.

ndio maana wanapata shinda sana na timu yao, vichapo kila wakati.
 
Mkuu jinsi ulivyoandika inatoa picha mashabiki wa arsenal bado asrenal yenu hamuielewi vizuri hata arteta akija kusoma ulichoandika hawezi kuchukua ubingwa maana mnaongea vitu ambavyo havipo.tatizo mnapenda kusema uongo pale timu ikiwa na mapungufu halafu ikashinda ,kwa unavyo maanisha wewe ni kwamba kila msimu timu inatakiwa kusajiri?

mkuu ku struggle kwa liverpool kuko kwenye kukosekana kwa wachezaji wake wote wengi wapo majeruhi ndio maana unaona liverpool inapata hayo matokeo.lakini liverpool imeingia msimu huu ikiwa imekamilika haitaji kusajiri tena.ndio maana msimu uliisha hawakusajiri na wamechukua ubingwa na kikosi kilichopita.

liverpool kikosi chao wanachokitaka bado hakikutani maana akipona huyu yule anaumia wakirudi hao wote hakuna timu ya kumfunga liverpool.

kuepo na pengo kwenye 8,9 na 10 kwa arsenal inamaanisha hamuijui timu yenu vizuri,sasa hivi zimepita mechi 8 tu mnaonekana mnamapengo,mnataka usajiri tena?.kama vile hamkujiandaa.

naona mnajipa moyo msimu huu mtachukua ubingwa,hilo aliwezekani kabisa na liko wazi kabisa ,ni vizuri msidanganyane muambiane ukweli timu inamapungufu. ndio maana mkilekebisha hili lile linatokea.mnatakiwa mnaweka mapungufu yenu na kikawaida lazima mashabiki wa timu mnakuwa na mitazamo sawa kama kweli mnaijua timu yenu vizuri.inakuwa rahisi kufanyia malekebisho na sasa hivi mngekuwa mnapata matokeo mnayoyataka sasa nyinyi mnasifia hata mkibahatisha,kitu ambacho akiwasaidii , hata januari ikifika mkasajiri mtaendelea kufungwa tu na kuonekana na mapungufu.
Mzee unajua kua hapa ni umeandika unachokijua lakini siyo cha ukweli?

Ukipata komenti yangu yoyote nikisema Arsenal inachukua ubingwa msimu huu ilete hapa mimi nitakutajia password ya hii username ya Castr na nitaachana nayo milele.

Nakusaidia. Utakuta koment ikisema "Arsenal kuchukua ligi haiwezekani ila tunaweza kupambania tournaments, FA, Carabao na labda Europa"

Uongo mwingine ni kudai eti Liva ikikamilika hamna timu ya kuifunga. Mkiwa mmekamilika hivyo Watford alifanya nini? Napoli alifanya nini? Mara mbili katika misimu tofauti.

Na mwisho kabisa Villa amekufanya nini?

Mwaka 2015 Benteke anakosa goli dhidi ya beki mmoja na wachezaji watatu wa liva. Note nimesema beki means hata kipa hakuepo alikua ameenda kushambulia. Mmetoka huko na ndipo Arsenal inapopambania kutoka.

Hata ulikua unajua kama Shaqiri yupo? Minamino ulishamsahau na Firmino anatafutiwa shimo la kuzikiwa.

Kama wewe unasubiri wachezaji wako warudi ili usiwe unafungwa hongera zako. Kuhusu kipi Arsenal tunakosa kwenye kikosi nilishakisema mara nyingi kuanzia deadline day ya usajili mpaka jana nimekisema.

At one point jitahidi kuandika ukweli kuliko unachokijua, muda mwingine unachokijua kinakua ni kinyume na ukweli.
 
hawa jamaa uelewa wao kwenye mpira ni mdogo sana , wapo baadhi ndio wanaelewa soka.

ndio maana wanapata shinda sana na timu yao, vichapo kila wakati.
Unamaanisha nini kila wakati? Hii timu imetoka kushinda 4 kwa 1 Europa imetoka kushinda moja bila kwenye ligi jana imefungwa unasema 'kila wakati'

Kwako kila wakati ni nini?

Ndo unajua mpira hivyo? Kujitungia stori ili upate mental pleasure?
 
Mkuu kwenye kukosa nafasi siwezi kuwalaumu wachezaji wetu moja kwa moja.

Ukitaka kufunga ni lazima kama timu utengeneze nafasi za kutosha, pitia stats za Liver na City kuanzia msimu uliopita utaona wanapiga jumla ya shots hadi 20+ wanashinda 2 au 3. Tafsiri inayokuja kichwani ni kwamba unahitaji kutengeneza nafasi nyingi sana ili kuongeza chances za kufunga magoli.

Tatizo jingine ni namna kocha anavyo mtumia Willian, sijaelewa kama tulimnunua ili tumtumie namna ile... kwa kazi anayopewa muda wote, naamini hawa vijana wetu kina Willock wanamudu kuifanya kwa ufanisi zaidi kwa kuwa wana speed zaidi na ni more energetic kuliko Willian.

Mistake iliyofanywa kwenye mechi ya Liver, jana imaejirudia zaidi ya mara tatu na kocha hata haoni/harekebishi. Willian hana speed ya kucope na watu kama Grealish hivyo hana msaada kwa Bellerin wakati wa kukaba, the same ilikuwa kwa Robertson kwny game dhidi ya Liver.
Sahihi ila kama kocha anataka timu icheze more defensive inatakiwa ihakikishe inatumia hizohizo nafasi chache zinazopatikana, kama kina wolves, burnley, soton, n.k wanavyofanya.... Ubutu wa washambuliji wetu unaonekana hapa,

Haina haja ya maelezo mengi, mimi ni mvivu kuandika,
Screenshot_20201109-122819.jpg
Screenshot_20201109-122705.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20201109-122819.jpg
    Screenshot_20201109-122819.jpg
    20.1 KB · Views: 5
Mkuu kwenye kukosa nafasi siwezi kuwalaumu wachezaji wetu moja kwa moja.

Ukitaka kufunga ni lazima kama timu utengeneze nafasi za kutosha, pitia stats za Liver na City kuanzia msimu uliopita utaona wanapiga jumla ya shots hadi 20+ wanashinda 2 au 3. Tafsiri inayokuja kichwani ni kwamba unahitaji kutengeneza nafasi nyingi sana ili kuongeza chances za kufunga magoli.

Tatizo jingine ni namna kocha anavyo mtumia Willian, sijaelewa kama tulimnunua ili tumtumie namna ile... kwa kazi anayopewa muda wote, naamini hawa vijana wetu kina Willock wanamudu kuifanya kwa ufanisi zaidi kwa kuwa wana speed zaidi na ni more energetic kuliko Willian.

Mistake iliyofanywa kwenye mechi ya Liver, jana imaejirudia zaidi ya mara tatu na kocha hata haoni/harekebishi. Willian hana speed ya kucope na watu kama Grealish hivyo hana msaada kwa Bellerin wakati wa kukaba, the same ilikuwa kwa Robertson kwny game dhidi ya Liver.
Rob Holding kwangu ni kilaza sana,naona anaunga tela tu, anakubali kila opponent anavyotaka.

Mimi binafsi nadhani kwenye midfield three ni bora tuanze na Joe Willock then nyuma yake wawe Partey na Elneny/Xhaka, tunaweza mtumia huyu dogo kutengeneza nafasi kuliko kila move ya goli kutokea pembeni,tunatabirika kirahisi sana.
 
Juzi nilisema huu uzi hauna wachangiaji wa timu zingine kwakua, nanukuu, "We are not fvcking up our opportunities" nikasema tumedeal vizuri na hizi ishu tumewapiga kufuli ila game na villa inakuja kichezesha kufuli, and it did.

So ghafla unaona watu wanafurika na kila mmoja anakuja kutoa stori yake. Wote hao wana stress na timu zao wanataka kuja kupunguzia hasira zao kwenye huu uzi.

Mimi roho itaniuma tukitolewa Europa. Hili battle la ligi ni refu bado muda unatosha kwa waliofungwa saba na sita kurudiwa na huo mzimu at the mean time tujaribu tu kurekebisha tulipomess up.

Kufuli linahitajika tena. Kisha utawaona waleeeee kwa mbaaaali wanaelea elea tu hawawezi kucomment chochote.

Kufuli.
Kama ambavyo usajili wa Chelsea ulivyokupiga kufuli kutokana na kufanya vizuri sasa ivi

Arsenal hii tunaijua hamnaga mbio ndefu nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hawa jamaa uelewa wao kwenye mpira ni mdogo sana , wapo baadhi ndio wanaelewa soka.

ndio maana wanapata shinda sana na timu yao, vichapo kila wakati.
Mkuu,vichapo vina uhusiano upi na uelewa wa mpira wa mashabiki?
Acha unafki uende mbinguni
 
Mkuu kwenye kukosa nafasi siwezi kuwalaumu wachezaji wetu moja kwa moja.

Ukitaka kufunga ni lazima kama timu utengeneze nafasi za kutosha, pitia stats za Liver na City kuanzia msimu uliopita utaona wanapiga jumla ya shots hadi 20+ wanashinda 2 au 3. Tafsiri inayokuja kichwani ni kwamba unahitaji kutengeneza nafasi nyingi sana ili kuongeza chances za kufunga magoli.

Tatizo jingine ni namna kocha anavyo mtumia Willian, sijaelewa kama tulimnunua ili tumtumie namna ile... kwa kazi anayopewa muda wote, naamini hawa vijana wetu kina Willock wanamudu kuifanya kwa ufanisi zaidi kwa kuwa wana speed zaidi na ni more energetic kuliko Willian.

Mistake iliyofanywa kwenye mechi ya Liver, jana imaejirudia zaidi ya mara tatu na kocha hata haoni/harekebishi. Willian hana speed ya kucope na watu kama Grealish hivyo hana msaada kwa Bellerin wakati wa kukaba, the same ilikuwa kwa Robertson kwny game dhidi ya Liver.
Villa wamepata big chances mbili na sisi tumepata mbili,
Wao wameziconvert zote kuwa magoli, sisi tunashika vichwa tu na kusema aaiiyaaaahhhh
Sisi tuna shots off target 8 wao hawana hata moja,
 
Back
Top Bottom