Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Uzi wenu hua hauchangiwi mara nyingi so hata nikiwa narefresh pages hua hautokei. Si unajua mna plasitc wengi
Mkuu hata mimi nikiwa na refresh uzi wenu hautokei. Shida ni kwamba ukija uzi wetu unakutana vitu visivyo kufurahisha ndio maana utakuja negative au utachanja mbuga.

Kwa iyo siku izi haurefresh tena?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi wenu hua hauchangiwi mara nyingi so hata nikiwa narefresh pages hua hautokei. Si unajua mna plasitc wengi
Halafu kama hujajua mnapata comments nyingi kwa sababu ya kufungwa fungwa kwenu kwa iyo wadau wengi wanakuja kuwaponda. Kwa mfano kama sasa hivi comments kama zote mtaacha kuwa juu?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule kipa Martinez tulifanya kosa kubwa kumuuza wakati golini umeacha shati tu lenye viraka. Sisi kama Arse8 halisi tunasema kwa bei ya Martinez tuliyomuuza nayo tumepigwa pale..
Partey tumepigwa..
Auba baada ya kudondosha wino sasa anakunja £300k+ hivyo tumepigwa..
Willian alijua kusoma nyakati akaona pa kuchukulia penshen ni kwetu Arse8 hivyo bila kusita akaja, sasa anakunja £100k+ tumepigwa..
Pepe tunayelipa kwa mafungu tumepigwa..
Arteta tumepigwa...
😀😀😀😀😀
 
Wenye msiba wamekasirika eti tunakuja kumaliza vyakula vya msibani, next time tutakuwa tunakuja na vyakula vyetu, turubai letu na wakitaka hata nyimbo za maombolezo tutatunga zetu.

Wao waendelee kufa tu, waombolezaji tupo.
Yani tupo kama wote..kama vifo vikiendelea kuwa vingi tutaendelea kuomboleza bila kuchoka..

Sisi kazi yetu ni kuomboleza huku tunacheka😂😂😂😂😂
 
Nawaonea huruma sana watani wangu maana December na January ndio hizo zinakuja kwa kasi. Na mzidi kuiombea Chelsea mabaya maana bila hivyo ikishika ule usukani ni ngumu sana kuuachia hasa Desemba 25
 
Hahaa.. mapya yanajieleza yenyewe na unajua kabisa otherwise unataka kujitoa ufahamu.

Ulipigia kelele sana usajili wetu sasa ivi umechanja mbuga mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikua siongopi. Kila nilichoandika kilikua ukweli mtupu.

Again, nashindwa ingia uzi wenu kwakua siukuti katika nyuzi mpya plastic wengi hakuna wanaokoment.
 
Nilikua siongopi. Kila nilichoandika kilikua ukweli mtupu.

Again, nashindwa ingia uzi wenu kwakua siukuti katika nyuzi mpya plastic wengi hakuna wanaokoment.
Kipindi kile plastic hawakuwepo? Ulikua unaongea pointless kwa sababu ulianza kufanya judgement kabla mambo hayajaanza kwenda vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom