Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii timu inaamini wa kuscore ni Auba tu? Bellerin na wenzake wanafanya komed gani
 
Arsenal itapata shida sana kwenye EPL timu zimejipanga ila Arsenal haikujipanga na ukitaka kuiwin Arsenal waache wachezee mpira wao nyie kaeni nyuma dk 90 watacheza ila no results next match vs Leeds hata kama mpira ni dk 90 but kwa mpira huu tena tupo home na tunaitaka top 4 no way mechi ya 8 katika EPL tunastruggle namna hii kupata matokeo?no way
 
Back
Top Bottom