DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Muda si mrefu nakubananisha na ile screenshoot yako


Muda si mrefu nakubananisha na ile screenshoot yako


Wewe si ni shabiki wa loserfool wewe, haya tueleze nguvu ya kuicheka arsenal kufungwa na villa umeitoa wapi! Umegongwa sabah alafu unakuja hapa nye nye nye nyeeeeee
Kwahiyo kwa logic hii ni kwamba;
Crystal Palace alimfunga man. Chelsea akadraw na man so Crystal alitakiwa atoe suluhu au aifunge chelsea...
Leicester kamfunga city tano. Liva kasuluhu na city so leicester akikutana na liva ni atamfunga au atasuluhu naye...
Logic ngumu hii
Hahaha kiukweli nimecheka mpaka watu wananishangaa.
Kiukweli maombi yako hamishia kutaka wawe nje ya top six.Not likely hasa draw zinapokuwa involved.
BTW hii point iko kiushabiki zaidi, isituchukulie muda sana kujadili.
Ila jana kwa jinsi Aston Villa nilivyowaona, maombi yangu ya wao kushuka daraja sioni yakifanikiwa.
Ngoja. Tutajitahidi kupunguza vifo.Ndo uelewe kwamba haya majukwaa ni yetu sote, na kitu kinacho tukutanisha zaidi kama ndugu ni msiba.
Nisipokuja msibani kwako utanilaumu na unaweza kukata hata undugu.
Sema hapa kwenye hii familia misiba minne ndani ya mechi nane ni misiba mingi sana, ndiyo maana wenyewe mnalalamika kwa kuona eti tunakula sana msibani.
Tunawaahidi kwamba misiba ijayo tutakuja na vyakula vyetu.
Kwa hili kocha wetu hana kichaka cha kujificha,.
Ingawa bado hatujawa vizuri ktk finishing,
Willian kakosa nafasi ya wazi,
Nketia kakosa nafasi ya wazi
Lacazette the same,
Nafasi ambazo Jarmie Vardy hakuachi,
Mimi naamini tunahitaji AM na CF huyu Lacca asubiri kwanza
Ngoja. Tutajitahidi kupunguza vifo.
Nambie
Nako utashinda auNext,
Leeds![]()
Mimi naweza bishana na wewe kwamba hatutakua nje ya 5 ila siyo ubingwa msimu huu. Na ndiyo nilichokua nawaambia waliodhani tuna chansi ya ubingwa

vizuri sana umeongea ukweliVizuri ila watakuja astonvilla kuanua tangaWageni wote, tunawashukuru kwa ushirikiano wenu,
Taarifa iliyotolewą kutoka ktk kikao cha familia ni kuwa, hatutakuwa na tanga la wote kutokana na hali ngumu ya kiuchumi iliyosababishwa na COVID19.
Tutakuwa na tangandugu tu, hivyo haina haja ya kuja ni mikeka, shuka na mito...
Ahsanteni.
Inabidi mkatoe sadaka ya shukrani kwa kweliBingwa wa dunia alikula 7,sasa mimi ni nani nikomae fupa lililomshindwa bingwa![]()
Pole kwa msibaNambie



Daaah...kaka umenichekesha sana kwa hii kauli "ila kila siku majirani wanakuja kuhani wakati msiba ulishapita zaidi ya mwezi" haha...hahaaaaaa........!Mkifanya hivyo mtapunguza watu, sisi mpaka sasa tuna msiba mmoja tu, tena wa kimazingara, ila kila siku majirani wanakuja kuhani wakati msiba ulishapita zaidi ya mwezi.
Hua naenda kuangalia uchambuzi wao haswa liva wanapoamua kuongea kiingereza baada ya defeat


Unapataje ujasiri wa kutembelea Jukwaa hili,