Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
safiiii sana point 3 muhimu sana.nilikuwa nataka clean sheet sana sema sio mbaya.
Kweli kabisa hata kwangu ni man of the match.I've come to conclude that Everton are yet ready to score!
I think Fabiansky atapaswa kuwa a man of the match
Another save by Fabiansky!
Hongeren wapinzan.....damn evertons!
Hongeren wapinzan.....damn evertons!
asante mkuu.naona tunajitahidi sana away games mwaka huu kushinda emirates. na nyie mnachechemea mjafungwa mechi yoyote lakini mnatoa draw kama hamna akili vizurilol.
msimu huu kiboko.wale man city nao kocha wao hajiamini,mchezo wake wa kucheza defensive unamponza sana.
Machini bado anaota yuko Italy. atashtuka anapigwa chini.
Hivi jamani Varmeleen anasumbuliwa na nini ?
Nasikia Bendenter(( Jina lake linanisumbua) anatishia anaweza kuondoka maana mbele ya chamakah na V. parsie anaona hapewi priority.
bendtner ngoma yake ngumu mbele ya chamakh,chamakh sio mbahatishaji akipata nafasi anafunga huyu ben yeye mbahatishaji na akumbuke katoka injury.huwezi kumpiga bench mtu ambae yuko kwenye form.
Nasikia Bendenter(( Jina lake linanisumbua) anatishia anaweza kuondoka maana mbele ya chamakah na V. parsie anaona hapewi priority.
Hamjafungwa bado jaman?
Lazima nikualike mwisho wa msimu katika sherehe za ushindi wa double Champions league na EPL 2010/11 tukiwa pamoja na Richard,Wacha1, BAK, Wenger na Mbu, na tutafanya get together ya nguvu kwa washika bunduki kule nyumbani (bongo) tukiwa pamoja na Ba Mkubwa, Kibs, Genekai, Companero, Balatanda, Ngwaza Madaso, Katavi, GT,Radical etc na tutawaalika akina nyinyi Belo, MTM, El nino, Masa, AbTitchaz,Peasant ,Manda, Genius, Shedafa, Invi, Gutierez, Abdulhalim, BJ, Eqylipz, Mvina, Rev Kishoka , Sanda matuta na wapenda soka wote.
Ruta kesho ni Everton 1- sisi 3, haina ubishi.
Jamaa alisema ata-parade title kwene mechi na Spurs..kwi kwi kwi..
Yeah mkuu we are not only leading but also winning!
Mi-Everton inajua'ga' kucheza jihadi wakicheza na manure tu, fungeni hao hata bao sita ka za msimu jana.
Hongeren wapinzan.....damn evertons!
mkuu Manda tunashukuru, sisi tumepata 3points, MU wamepata 1.....Sunderland timu funga hao Chelesea kagoli kamoja waanza kuweweseka
wakicheza ni timu nyingine mdebwedo.
.
Kweli kabisa hata kwangu ni man of the match.
Aiseee siku ya newcastle angekuwa atika kiwango hiki gap ya chelsea ingekuwa imepunguzwa. Ila leo Fibianski kaonyesha Almunia ana kazi tena ya Nyanda chaguo la kwanza .
asante mkuu.naona tunajitahidi sana away games mwaka huu kushinda emirates. na nyie mnachechemea mjafungwa mechi yoyote lakini mnatoa draw kama hamna akili vizuri lol.
msimu huu kiboko.wale man city nao kocha wao hajiamini,mchezo wake wa kucheza defensive unamponza sana.
Kweli mwaka huu wapo sawa,ila nao tatizo lao moja mechi ya kushinda wanaharibu,ya kupoteza wanashinda,sikutegemea kama wangeweza kumtuliza everton goodson park jana,ila kipa nampa pongezi zote Fabianski la sivyo wangelala jana Arsenal.Hongereni waungwana, alafu hawa everton uwa wakicheza na Man Utd wanacheza kama maisha yao yanategemea hiyo mechi wakicheza ni timu nyingine mdebwedo.
Naona mwaka huu mkipanga karata zenu vizuri mnaweza kuchukua ubingwa.
Acha kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupaHongereni waungwana, alafu hawa everton uwa wakicheza na Man Utd wanacheza kama maisha yao yanategemea hiyo mechi wakicheza ni timu nyingine mdebwedo.
Naona mwaka huu mkipanga karata zenu vizuri mnaweza kuchukua ubingwa.