Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Acha kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa
Babu si unaona sie tunavyowasusia chelsea ubingwa, chelsea nao wanawasusia arsenal lol....ila huu msimu utakuwa mrefu na wenye twist and turns nyingi sana.
 
Yaani me Bendtner huwa simuoni kama mchezaji wetu, akifunga huwa naona kama wamejifunga. Dogo mzembe dunia nzima, nadhani safari yake ndo imetimia, najitolea kumbebea begi bure aende aendako!
Huyu dogo mi pia simfagilii, kabla hajafunga goli lazima akose kwanza manne ya wazi.
 
Siyo mdebwedo mkuu, ni namna tu ya kuwabana wasifurukute. Tatizo la man u ni umri mkubwa wa wachezaji unaowafanya wasiwe flexible!
Mkuu kuna timu ambazo Man Utd miaka nenda rudi wanapata shida nazo Everton ni moja wapo bila kuwasahau West Ham na miaka hiyo Middlesbrough. Heheh usisahau hao wachezaji wazee wa Man Utd uwa wanawaweka mfukoni vijana wa Arsenal.

Huyu dogo mi pia simfagilii, kabla hajafunga goli lazima akose kwanza manne ya wazi.
Mkuu umenichekesha sana, ila timu zote zina wachezaji wa design hiyo wanamiss sitters kibao kabla ya kufunga.
 
Mkuu kuna timu ambazo Man Utd miaka nenda rudi wanapata shida nazo Everton ni moja wapo bila kuwasahau West Ham na miaka hiyo Middlesbrough. Heheh usisahau hao wachezaji wazee wa Man Utd uwa wanawaweka mfukoni vijana wa Arsenal
Tunakuja kwenu tarehe 13/12/2010 tuone matokeo, nitaomba uyarudie hayo maneno baada ya dk tisini za mchezo au tisini na nne za saa ya refa!
 
Tunakuja kwenu tarehe 13/12/2010 tuone matokeo, nitaomba uyarudie hayo maneno baada ya dk tisini za mchezo au tisini na nne za saa ya refa!
Kinachinishangaza kila mechi ya man u ni hii ya kuongezewa dk.
Mfano ASTON VILLA VS MAN U bila majeruhi waliongezewa dk 5, Chelsea jana Asamoah Gyan aliumia mara mbili na mara ya pili alipoteza dk nyingi sana pale chini lakini waliongezewa dk 4 tu.

 
Tunakuja kwenu tarehe 13/12/2010 tuone matokeo, nitaomba uyarudie hayo maneno baada ya dk tisini za mchezo au tisini na nne za saa ya refa!
Maneno kama haya niliambiwa na jamaa mmoja anakwenda kwa jina la Mbu msimu uliopita.
 
hahahaaaaaaaaaaaa Arsenal 2ko juu we unafananisha Chelsea na sisi????EPL wamechukua mara 4 tu tangu kuanzishwa jamaa bora ungeniambia hata Aston Villa au Leeds Utd nakushangaeni sana

Just like most of the Le Arse fans (angalia waliokupa thanks!), you talk through your ass! It's very obvious you don't even know the meaning of EPL, just for the help EPL just started in 1992, and only four teams have won it. Manchester United lead by distance with 11 titles, Chelsea 3, Arsenal 3, Blackburn Rovers 1. Kama unaongelea the old division one ambalo Arsenal alipandishwa baada ya kutoa rushwa, yes, Aston Villa wana matajio 7 na Chelsea ana 1, Leed United have 3. Kwanini hamfanyi hata uchunguzi kidogo kabla ya kutoa upupu wenu hapa, sometimes is better to be quiet to hide your foolishness.
 
Kama kawa wazee washika bunduki tuko ndani ya nyumba, leo hata siesta imekosa kwa kuisubiri hii match against Spurs.
Ukiangalia historia kidogo inatufeva ingawa history doesnot count so much when it omes to football but it encourages.

Katika mechi sita tulizocheza hivi karibuni tumeshinda tano na kupoteza moja so siyo mbaya. Na tangu 1993 wameshinda moja na tumedroo nao sita na kuwachapa mara kumi na moja tukiwa nyumbani lakini.

Bunduki za leo za arsenal na subs ni
Arsenal (from):Fabianski, Almunia, Szczesny, Sagna, Clichy, Djourou, Squillaci, Koscielny, Eboue, Fabregas, Wilshere, Nasri, Song, Diaby, Denilson, Rosicky, Walcott, Arshavin, van Persie, Chamakh, Bendtner, Gibbs
Na warusha mishale wa spurs ni kama hawa

Tottenham (from): Gomes, Cudicini, Pletikosa, Hutton, Corluka, Assou-Ekotto, Kaboul, Bassong, Gallas, Jenas, Palacios, Modric, Bale, Bentley, van der Vaart, Sandro, Kranjcar, Crouch, Pavlychenko, Defoe
Nimeipenda hii comment ya mtangazaji
Tottenham have not kept a clean sheet since the opening day of the season and have not had a shut-out at Arsenal since 1998.

Mechi nahesabu nusu saa kuanza so wadau karibuni but tuombe ushindi kwetu na ushindwi (kushindwa) kwa man u na ze! bluz
 
Underway at Emirates and its us 1 and Tott 0.....Nasri....
 
Denilson is playing too Deep and the guys are tryn to dominate the Mid....i dont like it........
 
can someone share with me this happiness????? 2-0......More to come.......What a f'ball?????????
 
had it been Impossible he wouldnt score may be it was Tightest of Angles......Hahahahaaaaa...... Gun 4 life

Buddy, the football language is different from the normal language's logic. I thought u knew!
 
How entertained can u be when you are watching the match whose winning team is the one you are supporting! But we have had many corner kicks against us this afternoon!
 
Back
Top Bottom