wanja la nyumbani naona halina heshima tena.nomaa sana hatujui ku-force ushindi kabisa.
leo kiliumana aisee kwa the gunners....poleni sana
Asante bana, kilio cha wengi London (Arsenal, Spurs, Chelsea)---"harusi!"---
Walianza Albion na sasa Magpies, hizi timu zote ndio zimepanda tena daraja msimu huu zinatunyanyasa nyumbani?
Na nikikumbuka misimu ya nyuma akina Hull City nao walikuja Emirates na kuondoka na ushindi, hakuna heshima tena , sio intimidated ground kama ilivokuwa Highbury, Westham nao chupuchupu wajiondokee na pointi!!
Wenger na arudie formula ile ya zamani ambayo ilitupatia mafanikio,na turudie kusajili Wanaume, hivi vitoto havitoshinda kombe (labda Carling) tunahitaji wapiganaji kama walivokuwa The Invincible,akina Gilberto, Pires, Vieira, Ljunberg, Campbell, Parlour,Keown wote ni wapiganaji ambao kama ni urembo wanaweza na ukitaka vita poa vilevile, nakumbuka ile mechi Old Trafford Van Nistelrooy v Keown, Vieira v Keane, aah masikini timu yetu, eti akina Andy Caroll, Tiote na Ameobi wanakuja Emirates na kuweka authority?
To be honest, Emirates is one of the beautiful stadiums I have been into, but I like the idea of it never being a fortress.Walianza Albion na sasa Magpies, hizi timu zote ndio zimepanda tena daraja msimu huu zinatunyanyasa nyumbani?
Na nikikumbuka misimu ya nyuma akina Hull City nao walikuja Emirates na kuondoka na ushindi, hakuna heshima tena , sio intimidated ground kama ilivokuwa Highbury, Westham nao chupuchupu wajiondokee na pointi!!
Wenger na arudie formula ile ya zamani ambayo ilitupatia mafanikio,na turudie kusajili Wanaume, hivi vitoto havitoshinda kombe (labda Carling) tunahitaji wapiganaji kama walivokuwa The Invincible,akina Gilberto, Pires, Vieira, Ljunberg, Campbell, Parlour,Keown wote ni wapiganaji ambao kama ni urembo wanaweza na ukitaka vita poa vilevile, nakumbuka ile mechi Old Trafford Van Nistelrooy v Keown, Vieira v Keane, aah masikini timu yetu, eti akina Andy Caroll, Tiote na Ameobi wanakuja Emirates na kuweka authority?
Sawa Richard lakini tunahitaji kupunguza hizi excuses kwamba timu zinakuja Emirates kudifendi, 10 men behind the ball nk, kwa sababu the West Broms of this world wanatumia the same tactics wanapokwenda Stamford Bridge ama Old Trafford, iwapo tumeshajua timu pinzani itakuja na tactic fulani kwa nini Wenger ashindwe kuwaandaa vijana na tactic ya kuishinda hio 10 men behind the ball ?Leo pale uwanjani aliekuwa yupo chini ya miaka 21 ni Jack Wilshere na wengine waliobakia ni "above" 21. Mzee Wenger angepanga watu ambao wangekuwa ni wale waliomaliza yaani Arshavin na Van Persie lakini akajaza midfield na matokeo yake yakawa ni congestion pale katikati kwani Newcastle walikuja na mpango wa kucheza "10 men behind the ball".
Kwahio ukiondoa hilo goli lao leo matokeo yalianza kuonekana kwenda kwenye sare. Arshavin ana uwezo wa kufungua ngome na Van Persie ana uwezo wa kubadilisha mwelekeo wa mashambulizi lakini leo waliingia muda umekwisha.
Bado tuna mechi mbili za ugenini dhidi ya Wolves na Everton na baadae tutakuwa nyumbani kuwakaribisha watani wetu Tottenham na "Bale Force" wao.
Bado tunaamini kufikia Xmas kuna mambo mazuri.
Mkuu inabidi tukubali kuwa EPL imebadirika siku hizi timu ndogo zina confidence ya ajabu, jamaa siku hizi wanakuja places like Emirates, Old Trafford na uhakika wa either draw au ushindi timu nothing else.Sawa Richard lakini tunahitaji kupunguza hizi excuses kwamba timu zinakuja Emirates kudifendi, 10 men behind the ball nk, kwa sababu the West Broms of this world wanatumia the same tactics wanapokwenda Stamford Bridge ama Old Trafford, iwapo tumeshajua timu pinzani itakuja na tactic fulani kwa nini Wenger ashindwe kuwaandaa vijana na tactic ya kuishinda hio 10 men behind the ball ?
Ninapotumia hii term "Vitoto" ninamaanisha maumbo yao na uchezaji na sio umri wao, kila wanapokutana na timu inayotumia ubavu kidogo tu basi game plan yetu inakufa.
Sawa Richard lakini tunahitaji kupunguza hizi excuses kwamba timu zinakuja Emirates kudifendi, 10 men behind the ball nk, kwa sababu the West Broms of this world wanatumia the same tactics wanapokwenda Stamford Bridge ama Old Trafford, iwapo tumeshajua timu pinzani itakuja na tactic fulani kwa nini Wenger ashindwe kuwaandaa vijana na tactic ya kuishinda hio 10 men behind the ball ?
Ninapotumia hii term "Vitoto" ninamaanisha maumbo yao na uchezaji na sio umri wao, kila wanapokutana na timu inayotumia ubavu kidogo tu basi game plan yetu inakufa.
UNAMCHEKA MAMBA KABLA HUJAVUKA MTO EHHHH! na wewe yamekukuta.Bwa bwa bwa bwa kwi kwi kwi!