Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nimepewa hii habari ... ...
"In Mendoza drinking wine & watching the game. Argentinean commentary is hilarious... The commentator is singing "el gol, por el Arsenal, el gol, por el Arsenal" during the replay. Almost as good as his "o-o-ooooh, o-o-ooooh" for the first."


Kwa hiyo wajamaa wa eastland waliowabamiza mafioso team leo wameonyeshwa kazi kutoka Emirates nasikia Romano o Bromovich amevunja TV khe khe khe teh teh ... timu ya mamillionare wametolewa kamasi.

Man City 0 - 3 Arsenal
 
safi sana arsenal...hii weekend imekuwa nzuri sana kwangu sima kashinda Arsenal kashinda...
 
Wakuu wa Leo kwa updates akina mbu, AW,The King (ulitabili vizuri sana), Crashwise, Wacha 1 shukurani sana, wengine tulikuwa na vijikazi vya lazima maana hizi deadline zitatuua...all in all, thanks...3points kibindoni.......Go Arsenal.....
 
good victory, good perfomance and back to the second place

good weekend for me also
 
Leo huku kuna kelele sana nadhani Arsenal ni kama West Brom! Hongereni kupunguza kasi citeh
 
Kutokana na mechi ya leo ni dhahiri kwamba Cesc hana bei kwenye hii timu, kuanzia uongozi ndani ya pitch, pasi, motisha nk.
Nasri ni most improved player msimu huu, Chamakh nae naona ameanza kufiti vema kwenye sistimu yetu, I can't wait for RVP come back! Huku mbele Chamakh - RVP itakuwa ni karamu ya magoli mechi hadi mechi.
 
Kutokana na mechi ya leo ni dhahiri kwamba Cesc hana bei kwenye hii timu, kuanzia uongozi ndani ya pitch, pasi, motisha nk.
Nasri ni most improved player msimu huu, Chamakh nae naona ameanza kufiti vema kwenye sistimu yetu, I can't wait for RVP come back! Huku mbele Chamakh - RVP itakuwa ni karamu ya magoli mechi hadi mechi.


cant wait
 
Watani hongereni sana kwa kuwafunga hawa Citeh at least leo tutalala kwa amani hapa mjini.
 
Watani hongereni sana kwa kuwafunga hawa Citeh at least leo tutalala kwa amani hapa mjini.

...Rooney wamemkosa na kufungwa wamefungwa. Shukran mkuu Eqlypz...wiki ijayo muwaendelezee machungu hawa...
 
Back
Top Bottom