Kweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2007
- 1,152
- 304
Amestuka kwamba wapenzi wameshakuwa tafrani, pamoja na kwamba ameleta stability kimapato lakini Miaka 5 bila trophy ni mingi sana kwa kilabu kama hiki chetu. Tuna imani msimu huu tutapata walau trophies 2, ni kama kusubiri basi muda mrefu kituoni mara nyingi zinatokea bus 2 ama 3 kwa mpigo.:smile:Naona Wenger ameamua kuditch policy ya kupanga watoto....!! Hii mechi yenu nimekosa dakika 60 za mwanzo.