Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Saa nyingine huwa nahisi kama uwezo wa Wenger ushakuwa obsolete. Labda ndo maana tunaumia!

Mkuu unasahau kwamba pale nyuma Varmelan hayupo hivyo mkorogo kidogo vurugika inshallah Jumapili atakuwa darajani kuondoa unoko wowote utakaojitokeza.





Duh, mbona kuna uhaba wa picha humu? Lakini kule Stamford Bridge mijitu ya kusafisha mizinga kila siku kuja jaza mipicha:becky:

Taliban Supporter aka Mungiki brother's huwa anakuwa Invisible hasa wakati Peasant's wanakuwa kwenye shughuli ya kilimo ingawa wanakacha vile vile chacha njomba inabidi tuziweke ili ushahidi uwepo maana mafioso team aka Chelsick kwa ubishi hawakawii. Just a matter of records.
 
wakuu tupo pamoja kama kawaida,kila la kheri kwa timu yetu na tutaishangilia pamoja hapa kila dakika.

Arsenal team: Fabianski, Sagna, Djourou, Squillaci, Gibbs, Rosicky, Denilson, Song, Arshavin, Wilshere, Chamakh. Subs: Szczesny, Koscielny, Nasri, Vela, Clichy, Eboue, Lansbury
 
Nona koscienly,Nasri na Clichy wamepumzishwa kwa ajili ya mechi ya chelsea.Nategemea watu waliopewa nafasi kutumia vizuri nafasi hizo.
 
Wenger bado tu hataki kumpa nafasi nyingine Manone ,huyu fabianski nae mchecheto sana golini.Wenger kweli mbahili yani tatizo lakipa kahama nalo toka msimu uliopita.
Tupo mstari 1 mkuu, binafsi naona Mannone yupo fiti zaidi ya Fabianski ama hata Almunia, kusema ukweli nafikiri kwenye ligi nzima sisi ndio tunaongoza kwa kipa bomu!! Almunia ametu-cost pointi nyingi misimu kama 2 iliopita, kwa kipa huyu wetu naona ni bora hata tusiweke mtu golini:mad2::mad2:
Mannone na yule mtoto mwengine mpolishi Szczeny wako bora na ilistahili Wenger awape nafasi ya namba 1 and 2.
 
Nona koscienly,Nasri na Clichy wamepumzishwa kwa ajili ya mechi ya chelsea.Nategemea watu waliopewa nafasi kutumia vizuri nafasi hizo.
Mkuu niko njiani sijapata team news nani anaanza beki ya kushoto? ama Gibbs amepona?
 
Back
Top Bottom