Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,372
- 12,529
Ona ramli hiiWatford mpaka sasa wamemkazia Chelsea,
Game ni 50/50
Matokeo yalibak hivo hivo ,tukishinda bas tutakaa namba 4 ,
Ona ramli hiiWatford mpaka sasa wamemkazia Chelsea,
Game ni 50/50
Matokeo yalibak hivo hivo ,tukishinda bas tutakaa namba 4 ,
kwa timu gani ubebe europa ,,,, labda utabeba bendera ya europa lakn sio kombe nashari muungane na liverfool maana wote mnatoka patupuNgoja kubeba kwanza Europa ,maana mshaanza kelele
Tatizo hujui prediction ni niniOna ramli hii
Wewe akili zako sitakiwi kukujibu,kwa timu gani ubebe europa ,,,, labda utabeba bendera ya europa lakn sio kombe nashari muungane na liverfool maana wote mnatoka patupu
kwa timu gani ubebe europa ,,,, labda utabeba bendera ya europa lakn sio kombe nashari muungane na liverfool maana wote mnatoka patupuNgoja kubeba kwanza Europa ,maana mshaanza kelele
Wewe inaonesha haupo sawa, sitakiw kukujibukwa timu gani ubebe europa ,,,, labda utabeba bendera ya europa lakn sio kombe nashari muungane na liverfool maana wote mnatoka patupu
HahahahahahahahahLeo ushindi muhimu
Tuwaage vzr Cech na Ramsey
Jichekeleshe kama wale wanawake WA kimboka,Hahahahahahahahah
Huna timu uwe unaacha porojoJichekeleshe kama wale wanawake WA kimboka,
Jumatatu city anashinda na jumanne mess anamaliza shughul
Wewe mwenye timu unabeba nini msimu huuHuna timu uwe unaacha porojo
EplWewe mwenye timu unabeba nini msimu huu
Labda uliibe
Kitu Arsenane wanajifanya hawajui ni kwamba mechi yao ya mwisho na Barnley wanatakiwa kumfunga goli tisa (9) na Spurs asishinde ili acheze UCL.Unakuja kila siku Hivi hiv, baadae unapotea jumla,
Kwa akili yako unadhan namba 6 itawatoroka


Hongereni...mwaka wa 10 bila kugusa UCLWatford mpaka sasa wamemkazia Chelsea,
Game ni 50/50
Matokeo yalibak hivo hivo ,tukishinda bas tutakaa namba 4 ,
Aliyekwambia arsenal anategemea hiyo option nanKitu Arsenane wanajifanya hawajui ni kwamba mechi yao ya mwisho na Barnley wanatakiwa kumfunga goli tisa (9) na Spurs asishinde ili acheze UCL.![]()
Hongera kwa Kufanikiwa kucheza EuropaHongereni...mwaka wa 10 bila kugusa UCL
Nilikwambia namba 6 huchomoki ,ukabishaHongereni...mwaka wa 10 bila kugusa UCL