Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wanaume walikuwa wanacheza na wavulana ....toka lini ngozi ya kitimoto ikawambwa ngoma eeee kama sio ujinga ni nini yerereyerereyerere
 
kocha alikuwa na wachezaji wasiojua makombe wakati Chelsea wana wachezaji wanaojua makombe ila kocha hajui kombe kwakua football inachezwa na wachezaji bora kocha mbaya wachezaji wazuri fainali hawakuangushi

Unai Emery huu ni msimu wake wa kwanza Arsenal na amerithi matatizo makubwa ambayo huenda anajuta kuja Arsenal.
 
Unai Emery huu ni msimu wake wa kwanza Arsenal na amerithi matatizo makubwa ambayo huenda anajuta kuja Arsenal.
Kwanini ajute? Why asingeweka masharti wakati anapewa kazi? Ngoja tuone atafanya nini dirisha hili
 
Back
Top Bottom