Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Walcot is long season injured! Nisiulizwe source ya habari hizi
 
Duh poleni watani naona Walcott naye anakitembelea chumba cha majeruhi, kuna baadhi ya washabiki wa Arsenal wameshaanza kusema mko nje ya mbio za ubingwa.
 
Duh poleni watani naona Walcott naye anakitembelea chumba cha majeruhi, kuna baadhi ya washabiki wa Arsenal wameshaanza kusema mko nje ya mbio za ubingwa.

They'd never been in it in the first place, it'll never happen with Almunia in the goal.
 
theoankle.jpg

Theo Walcott's worst injury fears averted - Telegraph

There were fears of much more serious damage when he was rushed to hospital after just 13 minutes of England's 3-1 win over Switzerland but a subsequent X-ray showed no break or ligament damage. It is expected that he will be back playing once the bruising has subsided in around two or three weeks.
It means Walcott will miss Arsenal's home match against Bolton on Saturday and Wednesday's Champions League tie with Braga, while he is also now a doubt for the looming matches against Sunderland and Tottenham.
 
...kila team ya Uingereza ina misiba yake.

'Arsenal' majeruhi kila International breaks, au kuvunjana miguu mazoezini.
'Man U' wao story zao ni Rooney tuuu na makahaba, wazee kwa vijana yeye hachagui!
'Chelsea' kuna JT na Cashley Cole na skendeli za Ngono.
Peter Crouch naye kajionea 'Spurs' wanaachwa nyuma naye huyoo...


Almuradi EPL haiendi bila vituko.
 
...kila team ya Uingereza ina misiba yake.

'Arsenal' majeruhi kila International breaks, au kuvunjana miguu mazoezini.
'Man U' wao story zao ni Rooney tuuu na makahaba, wazee kwa vijana yeye hachagui!
'Chelsea' kuna JT na Cashley Cole na skendeli za Ngono.
Peter Crouch naye kajionea 'Spurs' wanaachwa nyuma naye huyoo...


Almuradi EPL haiendi bila vituko.

Umesahau "Night club Hooligans" : Jack Wilshere (Arsenal), Steven Gerrard (Liverpool), Marlon King (Wigan), Joey Barton (Newcastle)....
 
Umesahau "Night club Hooligans" : Jack Wilshere (Arsenal), Steven Gerrard (Liverpool), Marlon King (Wigan), Joey Barton (Newcastle)....

...nakweli!
Kioo cha jamii hao, aka Icons for the youngsters!
Marlon King bado yupo Lupango nini?
 
Hahahahahahahah homeboy kuna tetesi uko honey money na mJF mmoja hahahahahaah haya bwana poleni sana na majeruhi!

Teh teh..........Honeymoon ishaisha aisee....Tupo huku Mtera tunampa tafu kijana wetu Lusinde
 
Teh teh..........Honeymoon ishaisha aisee....Tupo huku Mtera tunampa tafu kijana wetu Lusinde

Pamoja mzee msalimu sana bht! Hakuna kulala kwani ushindani upo na nani?

RVP na Walcot wameishaanza kuumia na golini hakuna kipa sasa ubingwa upo kweli?
 
chama letu liko poa tu.wanaojipendekeza kulijua saana hawaelewi.go go go arsenal go
 
...kila team ya Uingereza ina misiba yake.

'Arsenal' majeruhi kila International breaks, au kuvunjana miguu mazoezini.

Vermaelen knock opens door for Squillaci

By Richard Clarke

Sebastien Squillaci will make his Arsenal debut against Bolton on Saturday after Thomas Vermaelen picked up an Achilles injury on international duty.

...yale yale!
 
Mwendo Mdundo.
Tunashangilia kimya kimya mpaka X-mas!
:welcome:
 
Mwendo Mdundo.
Tunashangilia kimya kimya mpaka X-mas!
:welcome:

Wala hukosea in England there only two teams on top flight....Chelsea and Man utd! wengine ni wasindikizaji
 
Arsenal jana imecheza na kuonesha kwamba uwezo wa nguvu na uimara wa mabeki wake utawasaidia kufikia hata kuzifunga Chelsea na Man United pale itakapocheza nazo, hatuwezi jua.

Mabeki wapya wa kati Laurent Koscielny na mkoba Sebastien Squillaci walifaulu majaribio ya mipira ya juu na uongozaji wa safu ya mabeki. Kwahio hakukuwa na matatizo ya kukosekana kwa Thomas Vermaelen ambae ana Achilles tendon -maumivu ya mshipa unaoounga mguu na kisigino.

Kwenye kiungo hakukuwa na matatizo kabisa kwani Cesc Fabregas na Alex Song Bilong walikuwa wanashirikiana vema. Fabregas ndie alitoa msaada wa magoli matatu yalofungwa na Marouane Chamack, Alex Song na Carlos Vela ambae "beatifully" alifunga goli na nne.

4chamakh-get_1713430c.jpg

Marouane Chamack anaziba nafasi ya Robin Van Persie.

Nikiwa mpenzi wa Arsenal nnaeshuhudia mechi zake pale Emirates naona kwamba timu nyingi hazipendi mtindo au style ya uchezaji wa Arsenal na mara nyingi huja kwa kucheza mtindo wa moja kwa moja (mipira ya kubutua) na kusukumana, na jana Bolton walikuja kwa hilo na sasa Abou Diaby nae kaumizwa kwa kupigwa kiatu na beki wa Bolton Paul Robinson ambae nae alijifanya kaumia. Sasa kuna wasiwasi kama Diaby atacheza jumatano dhidi ya Braga kwenye champions league.

fabregas_blue_21_51_151601a.jpg


"Passmaster" Cesc Fabregas kama kawaida yake jana alikuwa "busy".

Mtindo wa uchezaji wa Arsenal utaendelea kuwa uleule wa pasi na umaliziaji na kama sio Andrey Arshavin kukosa magoli mengi ya wazi basi jana tungefikia idadi ya magoli ya Chelsea.
 
Haya majeruhi yanatuweka pabaya kwelikweli

Watu wengine kazi yao ni kuchafulia wengine tu na ukiangalia jinsi Gary Cahil alivyomchezea vibaya Chamack inaonesha wazi mawazo ya wachezaji wengi wa timu zingine juu ya Arsenal.
 
Wadau wa Imarati nawatakia kila la heri tushinde game ya kesho ya UCL dhidi ya Braga..........Hope tutapata ushindi munono munono............Kila la heri kwa wakuu wangu Mbu,Baba Mkubwa,Ng'wanza Madaso,Mpiga Filimbi,Le professeur Arsene Wenger,Richard,Kweli.RINGO EDMUND,Radical, BAK.GT,Shadow na washika bunduki wengine....

Pia nawatakia kila lla heri na ushindi majirani zangu wa darajani Rev.Masanilo(Home Boy),Peasant,EL NINO,Sanda Matuta na wengineo bila kuwasahau Mashetani Manda,mmbebabox,Eqlypz & co.....Nawatakia kila la heri na ushindi mnono kwenye game zenu za UCL wiki hii.................Pa1
 
Back
Top Bottom