Wadau wa Imarati nawatakia kila la heri tushinde game ya kesho ya UCL dhidi ya Braga..........Hope tutapata ushindi munono munono............Kila la heri kwa wakuu wangu Mbu,Baba Mkubwa,Ng'wanza Madaso,Mpiga Filimbi,Le professeur Arsene Wenger,Richard,Kweli.RINGO EDMUND,Radical, BAK.GT,Shadow na washika bunduki wengine....
Pia nawatakia kila lla heri na ushindi majirani zangu wa darajani Rev.Masanilo(Home Boy),Peasant,EL NINO,Sanda Matuta na wengineo bila kuwasahau Mashetani Manda,mmbebabox,Eqlypz & co.....Nawatakia kila la heri na ushindi mnono kwenye game zenu za UCL wiki hii.................Pa1