wakimfukuza mourinho hao real madrid basi laana kama waliyofanya kumfukuza vicente del bosquewakati ule itazidi kuendelea,sir alex ferguson kaingia man utd novemba 1986,kakaa misimu takriban 7 bila ligi daraja la kwanza inaitwa kipindi hicho,alibeba makombe mawili tu 1988 fa cup na 1991 washindi ulaya(imeungana na uefa cup inaitwa europa cup siku hizi),wamempigia sana kelele za kutaka kufukuzwa hadi waandishi wa habari walidiriki kumwambia hautabeba kombe na kusajili nicky butt,scholes,na kuwaacha kina mark hughes kocha wa fulham sasa,wakati huo kina scholes,bekham,phil neville,gary neville na nicky butty wakiwa chipukizi mwaka 1995-96,na wakajibu mapigo wakatwaa premier league na fa cup wakaitwa double winners,ikawa mafanikio kama yameanzia hapo,inabeba misimu 2 mfululizo ikikosa 1,unaofuata inarudisha mpaka 1999 ikachukua 3 vyote uefa champs,premier na fa,mpaka leo hata useme nini wamemuacha fergie haingiliwi na hakuna mchezaji yoyote ambae anakuwa juu na fergie hadi kuitwa sir(cbe)commander of british empire,kwahiyo wakitaka mafanikio wawe wavumilivu,wasiwe kama chelsea na abramovich walivyokorofishana na mourinho kisa kupangiwa listi au kufagilia wachezaji kama shevchenko lazima aanze first eleven(samahani lakini),ujumbe matatizo ndio ukubwa,chakula kizuri kinahitaji muda na uvumilivu,hata roma haikujengwa kwa siku 1