Richard
Platinum Member
- Oct 23, 2006
- 16,667
- 25,700
Mkuu jiandae tu with another "hopeless season".Nilikaa leo nafatilia transfer mpaka dakika ya mwisho na kichwa kiliniuma.
Mkuu nafikiri Wenger na maskauti wake wanauma meno sasa hivi.
Leo wameshindwa kumnunua Mark Schwarzer kwa paundi milioni 4 walizoweka kwenye meza ya Fulham.
Mark Schwarzer
Sababu ni kwamba Fulhamu walikuwa wanategemea kusajili kipa wawili kuziba pengo ambalo lingeachwa na Mark Schwarzer.
Makipa hao ni wa Crystal Palace timu ya daraja la kwanza aitwae Julian Speroni ambae ni kutoka Argentina, Crystal Palace wakasema wanataka 1.5 milioni na Fulham hawana kwa wakti ule.
Hapohapo Fulham wakawa wanataka kumsajili kipa mwingine Brazil aitwae Alexander Doni ambae anachezea FC Roma ya Italy, ambae nae dili lilikuwa linafanyika kwa simu kati ya London na Italy na ikabidi wakala wake aje mchana kwa kusaini makaratasi kwa niaba ya Alex lakini mwisho ikashindikana.