Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 11,343
- 13,865
Torori noma linafanyaga tackles kwa kichwa.Nareview hapa naona torori lilianguka lenyewe Bobby alipokuwa anawahesabu back line
Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅😅😅
well said!Acha maziea.
Acha mambo ya ajabu.
Arsenal anashinda au anatoa draw mechi ya leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaha hii kauli yako ya mwisho imefurahisha sana.Hii ndio inatwa FOOTBALL HUMILIATION.
-Out classed
-Out smarted
-Bullied
Moja kati ya mechi mbaya kuzitazama,worse part tumepigwa tukiwa hatuna la kufanya.
Wewe nawe sio shabiki ..Kama nilivojitoa CHAPUTA,
Tayar nimeama arsenal mimeamia liverpool
Huu ni upumbavu aiwezekani unakuja kwenye timu unaingiza beki zako ulizonunua nando zinaonekana hovyo kabisaaa
Sokrat.. sijui nilizeeee pumbavu kabisa na lile lenzake lililo assist match iliyopita tukasawazishwa ikawa moja moja. Wote wajinga
Ramsey center mildfilder kweli ulisha ona wapi?????
Mavi matupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na kwamba unadai Liverpool kabebwa lakini ile gemu chance ya arsenal kushinda ilikuwa ndogo sana.
mashabiki kama hawa huwasiwaelewi kabisa nahisi wanashida kwenye moral and spiritual developmentMkuu kuwa na lugha yenye heshima kwa mashabiki wenzako hata kama wamepoteza game, kumfananisha binadamu mwenzako na mbwa ni kitendo cha udhalilishaji.
dah hawa wachezaji wa arsetano kwenye hii screen shot wamenyanyaswa mno kiukweli wameziaibisha mno familia zao haswa wake zaoTazama
Eti ndo mkacheze uefa na kina mbappe kina Messi kina neymar
Si mnataka mkale10,20,30View attachment 980741
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwe na heshima unapotutolea matusi as if tumekutukana haipendezi.Halafu suala la kufungwa siyo kitu kigeni sana kwani hakuna timu ambayo haijafungwa.Unatuita mbwa, unatuita mbuzi hivi ni wapi umeona tumekutukana au kukutolea lugha chafu hadi uamue kufanya hivyo kama kutulipizia.mkuu sikumaanisha samhani
,ila hawa mbuzi wanaongea sana,utasema kila msimu kombe huwa wanachukua wao