Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu kuwa na lugha yenye heshima kwa mashabiki wenzako hata kama wamepoteza game, kumfananisha binadamu mwenzako na mbwa ni kitendo cha udhalilishaji.
mkuu sikumaanisha samhani
,ila hawa mbuzi wanaongea sana,utasema kila msimu kombe huwa wanachukua wao
 
Kuna watu humu nawambia emery haeleki wanabisha

Ozil sio fighter hata kidogo emery anampamba tu amuuze kwa hela nzur wanabisha
Nasemaga arsenal kikosi kinapagwa ovyo wachezaj hawaelewek yup wa muhimu
Lacazet ni wakula benchi kweli??????

Angalia liver walivo mfua firmihno kitambo na anapagwa kila siku

Unafikil mchezaj kufanya vizur ni rahis rahs tuu????

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usumlinganishe Firminho na vitu vya kijinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mike oliver ashukuriwe kwa kuwabeba hawa livakuku

Sent using Jamii Forums mobile app
Picha za kutisha.

Tunashukuru Mungu kuwa hujajinyonga ili uendelee kupiga ramli zaidi. View attachment 980737
IMG-20181229-WA0035.jpeg
IMG-20181229-WA0034.jpeg
IMG-20181229-WA0025.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie bila kuwatandika kama goli kama 5 huwa mnadharau sana yote kwa yote Mumshukuru Klopp la sivyo ingeandikwa historia.
 
Back
Top Bottom