Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal inatakiwa kufanyiwa overhaul kubwa, ni wachezaji kama wanne wakubaki, the rest are rubbish
Hilo halitokaa litokeee kwa sababu malengo ya wenye share zao ni faida na si makombe. Kwa sasa timu inaendeshwa kwa gharama ndogo ukileta wachezaji wenye viwango utalazimika kuwalipa mshahara mkubwa kitu ambacho wenye timu hawapendi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unai ni mpumbavu, he has been frustrating Ozil and laccazete, anapanga wachezaji wa hovyo
Ozil majeruhi angechezaje,pia siku zote alipopata matokeo mazuri iwobi alikuwa akianza baadaye wanabadilishana na lacazette. Tatizo kuu ni uwingi wa majeruhi wa nyuma deffender hasa beki ya kati na huku nyuma kushoto.
Hata kama foward watafunga huku nyuma kuko wazi mno.
Nadhani ni muda muafaka wa kutafuta beki kiungo mmoja na winga ya kushoto.Alipofika kocha alijaribu kutafuta beki lakn bado beki hizo zimepwaya hivyo anatakiwa kuingia sokoni tena.
Tumeanza kufunga goli lakini hatuna uwezo wa kuzuia beki hakuna.
Ni hali ya mchezo tunawapongeza liverpool lakini bado tunaamini ktk kurekebisha makosa na kushinda.
We are the GUNNERS forever.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ozil majeruhi angechezaje,pia siku zote alipopata matokeo mazuri iwobi alikuwa akianza baadaye wanabadilishana na lacazette. Tatizo kuu ni uwingi wa majeruhi wa nyuma deffender hasa beki ya kati na huku nyuma kushoto.
Hata kama foward watafunga huku nyuma kuko wazi mno.
Nadhani ni muda muafaka wa kutafuta beki kiungo mmoja na winga ya kushoto.Alipofika kocha alijaribu kutafuta beki lakn bado beki hizo zimepwaya hivyo anatakiwa kuingia sokoni tena.
Tumeanza kufunga goli lakini hatuna uwezo wa kuzuia beki hakuna.
Ni hali ya mchezo tunawapongeza liverpool lakini bado tunaamini ktk kurekebisha makosa na kushinda.
We are the GUNNERS forever.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sio majeruhi, Ana beef naye
 
Sio majeruhi, Ana beef naye
Iko hivi kuna wakati ozil alifanyiwa sub na kocha akaonesha nidhamu mbaya kwa kocha tena waziwazi lakn next game kocha alimpanga sasa mchezaji asiyeheshimu maamzi ya kocha hafai kwa timu ina wachezaji wengi lazima maamzi ya kocha yaheshimiwe. Ozil kaonesha kuwa ameumia mazoezini hivyo hata kama alizoom kocha anajua ni majeruhi.
Mchezaji hawezi kuwa bora kuliko kocha hiyo siyo timu. Hata ikiwa amechoka ni haki yake kuondoka kwa kufuata taratibu kwani ile timu ipo kabla ya yeye.
Naheshimu uwezo wa ozil lakn siheshimu dharau zake kwa kocha. Lazima kocha aheshimiwe.
We are the GUNNERS forever.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama nilivojitoa CHAPUTA,
Tayar nimeama arsenal mimeamia liverpool

Huu ni upumbavu aiwezekani unakuja kwenye timu unaingiza beki zako ulizonunua nando zinaonekana hovyo kabisaaa

Sokrat.. sijui nilizeeee pumbavu kabisa na lile lenzake lililo assist match iliyopita tukasawazishwa ikawa moja moja. Wote wajinga

Ramsey center mildfilder kweli ulisha ona wapi?????
Mavi matupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom