ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,528
- 7,923
Unapigwa kipigo cha mbwa mwizi na leo Liverpool amevunja ile UNBEATEN RECORD YAKO YA 2003/2004. 

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app


Brighton uliwafanya utakavyo enhKwa arsenal yetu hii timu ndogo tunaifanya tutakavyo ila sio big matches
Ata spurs tuliwafunga tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu kocha ni sawa na Wenger hakuna tofauti katika upangaji wa timu.
Wanaboa sana
Hilo halitokaa litokeee kwa sababu malengo ya wenye share zao ni faida na si makombe. Kwa sasa timu inaendeshwa kwa gharama ndogo ukileta wachezaji wenye viwango utalazimika kuwalipa mshahara mkubwa kitu ambacho wenye timu hawapendi.Arsenal inatakiwa kufanyiwa overhaul kubwa, ni wachezaji kama wanne wakubaki, the rest are rubbish
Ozil majeruhi angechezaje,pia siku zote alipopata matokeo mazuri iwobi alikuwa akianza baadaye wanabadilishana na lacazette. Tatizo kuu ni uwingi wa majeruhi wa nyuma deffender hasa beki ya kati na huku nyuma kushoto.Unai ni mpumbavu, he has been frustrating Ozil and laccazete, anapanga wachezaji wa hovyo
Ozil majeruhi angechezaje,pia siku zote alipopata matokeo mazuri iwobi alikuwa akianza baadaye wanabadilishana na lacazette. Tatizo kuu ni uwingi wa majeruhi wa nyuma deffender hasa beki ya kati na huku nyuma kushoto.
Hata kama foward watafunga huku nyuma kuko wazi mno.
Nadhani ni muda muafaka wa kutafuta beki kiungo mmoja na winga ya kushoto.Alipofika kocha alijaribu kutafuta beki lakn bado beki hizo zimepwaya hivyo anatakiwa kuingia sokoni tena.
Tumeanza kufunga goli lakini hatuna uwezo wa kuzuia beki hakuna.
Ni hali ya mchezo tunawapongeza liverpool lakini bado tunaamini ktk kurekebisha makosa na kushinda.
We are the GUNNERS forever.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutafute kocha mwingine mana hakuna namna tumefungwa kizembe sana. Mkuu pamoja na yote sidhani kama huyu Kocha atatuvusha, namuona yupo kama Wenger. Msimu huu top 4 tuisahau. Inauma sana.Wanaboa sana
Iko hivi kuna wakati ozil alifanyiwa sub na kocha akaonesha nidhamu mbaya kwa kocha tena waziwazi lakn next game kocha alimpanga sasa mchezaji asiyeheshimu maamzi ya kocha hafai kwa timu ina wachezaji wengi lazima maamzi ya kocha yaheshimiwe. Ozil kaonesha kuwa ameumia mazoezini hivyo hata kama alizoom kocha anajua ni majeruhi.Sio majeruhi, Ana beef naye
we ukitaka kujua wanaongea sana subiria siku wakimfunga burnley...m watachonga utasema wanacheza uefa