Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hilo halitokaa litokeee kwa sababu malengo ya wenye share zao ni faida na si makombe. Kwa sasa timu inaendeshwa kwa gharama ndogo ukileta wachezaji wenye viwango utalazimika kuwalipa mshahara mkubwa kitu ambacho wenye timu hawapendi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni maoni yako ya kihisia tu.Timu ina majeruhi wengi beki that's why tunafunga lakini magoli yanarudi kwa kuwa ukuta ni mbovu. Tungekuwa na ukuta imara liverpool walikuwa wanafungika vizr tu. Ni matokeo tu
We are the GUNNERS forever.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Babyboy wa liverpool simuelewi huyuu
edokumwembe-20181229-0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo ni maoni yako ya kihisia tu.Timu ina majeruhi wengi beki that's why tunafunga lakini magoli yanarudi kwa kuwa ukuta ni mbovu. Tungekuwa na ukuta imara liverpool walikuwa wanafungika vizr tu. Ni matokeo tu
We are the GUNNERS forever.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wew usijifalij hivo, wakati kolasinac mzur chagu la kwanza,
Mustafi- mzur kwa arsenal kampiga benchi koscinl
Hao mabeki walio baki wawili wote kasajil yeye mwenyewe kwa akilizake mbovu

Unataka nn tena?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu kocha ni sawa na Wenger hakuna tofauti katika upangaji wa timu.
Ameenda mfululizo game 22 hajapoteza hamkusema yupo sawa na wenger ila alipoanza kupata matokeo mabaya baada ya majeruhi kuwa wengi kawa mbaya. Acheni ulimbukeni kama hamuujui mpira kaeni kimya siyo kuweka dharau. Huyu ni kocha Bora arsenal.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu humu nawambia emery haeleki wanabisha

Ozil sio fighter hata kidogo emery anampamba tu amuuze kwa hela nzur wanabisha
Nasemaga arsenal kikosi kinapagwa ovyo wachezaj hawaelewek yup wa muhimu
Lacazet ni wakula benchi kweli??????

Angalia liver walivo mfua firmihno kitambo na anapagwa kila siku

Unafikil mchezaj kufanya vizur ni rahis rahs tuu????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wew usijifalij hivo, wakati kolasinac mzur chagu la kwanza,
Mustafi- mzur kwa arsenal kampiga benchi koscinl
Hao mabeki walio baki wawili wote kasajil yeye mwenyewe kwa akilizake mbovu

Unataka nn tena?

Sent using Jamii Forums mobile app
Koscielny hawezi kucheza dk 90 kaka nje muda mrefu. Monreal , bellerin na mustafi hukaa pamija wawili hao majeruhi hata mustafi kacheza lakn ni majeruhi sasa ss tunakuelekeza wewe unajifanya unaielewa timu kuliko sisi.
Beki tumepanga kujaza nafasi tu siyo partner.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Koscielny hawezi kucheza dk 90 kaka nje muda mrefu. Monreal , bellerin na mustafi hukaa pamija wawili hao majeruhi hata mustafi kacheza lakn ni majeruhi sasa ss tunakuelekeza wewe unajifanya unaielewa timu kuliko sisi.
Beki tumepanga kujaza nafasi tu siyo partner.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi nishabik wa arsenal ujue.

Mabeki walivokua wazima wote huyo Nacho hachez kabebewa namba na kolasinac kucheza beki ya kati alikua anajalibishwa kwa mala ya kwanza.

Mchezaji muhimu alie majeruhi ni bellerin tuuu
Na yeye namba yake kachukua new signature ya emery kasaliji yeye mwenyewe

Sasa wew bellerin hata akirud unafikil mapungu ndo yataisha???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom