Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal ilikosea sana kufungwa na Southampton na kutoa sare na Brighton.

Mesut Ozil hawezi kupangwa kutokana na kulembesha sana mpira khasa pale mashambulizi yanapokuwa yakipikwa kutokea katikati na Guendouzi.

Pia Mesut Ozil ni mpotezaji mipira maarufu kwenye timu ya Arsenal.

Tuombe angalau tutoe sare hii game maana ni ngumu.
 
Team news:

Liverpool leo watamkosa James Milner pale katikati kutokana na kuwa majeruhi ya misuli.

Hata hivyo Alberto Moreno anaweza kurudi kushika nafasi ya Milner baada ya maumivu ya mgongo.

Pia Domnic Solanke nae hatocheza.

Wachezaji wengine ambao hawatacheza ni Joe Gomes na Joel Matip.

Arsenal:

Bellerin, Konstantino na Rob Holding bado ni majeruhi wakati Mustafi na Nacho Monreal wanaweza kuanzia bench.
Mkhitaryan hachezi hadi miezi sita ijayo.
 
Ndoa ukwen
Unai the genius
Screenshot_20181229-193458.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Team News:

Wachezaji na namba mgongoni

Liverpool:

13 Alisson 6 Dejan Lovren 66 Trent Alexander-Arnold 26 Andrew Robertson 4 Virgil van Dijk

5 Georginio Wijnaldum 10 Sadio Mané 23 Xherdan Shaqiri 3 Fabinho 9 Roberto Firmino na 11Mohamed Salah

Arsenal:

19 Bernd Leno 20 Shkodran Mustafi 5 Sokratis 12 Stephan Lichtsteiner 34 Granit Xhaka 11 Lucas Torreira 31 Sead Kolasinac 15 Ainsley Maitland-Niles 17Alex Iwobi 8 Aaron Ramsey na 14 Pierre-Emerick Aubameyang

Mwamuzi ni Michael Oliver
 
Football has three outcomes, arsenal left with one option 3 pointsView attachment 980625

Sent using Jamii Forums mobile app

Aubameyang mbele.

Nyuma kuna Sokratis, Mustafi na Xhaka

Walinzi wa pembeni Lichsteiner kulia , Kolasinac beki wa kushoto.

Sehemu ya kiungo amewajaza Ramsey, Iwobi, Maitland-Niles, na Torreira.

Emery anajaribu kuchezesha man to man na hakutakuwa na mfumo wowote unaotambulika kila abiria achunge mzigo wake.

Aaron Ramsey atakuwa nyuma ya Aubameyang akimsaidia kumpa mipira.

COYGs!
 
Aubameyang mbele.

Nyuma kuna Sokratis, Mustafi na Xhaka

Walinzi wa pembeni Lichsteiner kulia , Kolasinac beki wa kushoto.

Sehemu ya kiungo amewajaza Ramsey, Iwobi, Maitland-Niles, na Torreira.

Emery anajaribu kuchezesha man to man na hakutakuwa na mfumo wowote unaotambulika kila abiria achunge mzigo wake.

Aaron Ramsey atakuwa nyuma ya Aubameyang akimsaidia kumpa mipira.

COYGs!
Hii kisoka tunaita "solid squad" n kikos ambacho ata nyoka hapat upenyo
Na pia Niles, iwob na kolasnic wana speed watasaida katka mashambuliz mpira ukipatikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee kichapo kinahusika, maana Maitland niles wingback halafu na mgiriki sijui kawekwa cb loooooooooooooool

Kazi ipo leo, liverpool ameshinda hii game tukutane at full time muone kama nakosea huu utabiri
 
Niko hapa naangalia chama langu la Gunners kwa dakika 90 zijazo. Mpira kweli unadunda nani alitegemea leo Tottenham wapigwe 3-1 tena kwao. Ila nimesikitika kukosekana kwa lacazette.
 
Back
Top Bottom