radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Ngumu sana hawa jamaa labda narudia labdaMwezi huu hata droo moja hatujatoa, kwa hiyo huyu naye anaingia kwenye case hii.
Vile tu ni big game chochote linaweza tokea, lakini ukiangalia squad conditions, current form, Arsenal yuko as an underdog, it is not even close.