Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nawakumbusha tu kuwa Manchester United leo anashinda nyingi na kufikisha Points 35 ambazo atahitaji Points 3 awapite nyinyi.

Nafasi Yenu Halisi ni ya 6
 
Nawakumbusha tu kuwa Manchester United leo anashinda nyingi na kufikisha Points 35 ambazo atahitaji Points 3 awapite nyinyi.

Nafasi Yenu Halisi ni ya 6
Mkuu huyu A5 (THE GONO) akikaa hovyo wolves anamuweka wa 7 maana kwa man u apende asipende atapitwa tu

Time will tell

Wakenya 5 jana wamekamatwa wanataka kujinyonga kesi zao zinaendelea huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawakumbusha tu kuwa Manchester United leo anashinda nyingi na kufikisha Points 35 ambazo atahitaji Points 3 awapite nyinyi.

Nafasi Yenu Halisi ni ya 6
Ni rahisi sana kusema hivyo lakini siku zote hakuna timu inayoshikwa na kocha mpya ikaanza na matokeo mabovu. Man United bado sana wala msijivune kumpita arsenal still bado ingawaje mwaweza ingia top 4 lakn siyo kirahisi hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom