DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
ndio nini sasa?Tunabwabwaja 5-1
Ww hujui sababu mpk sasa hivi
Pia tunabwabwaja hii mambo hapa chini hapaaView attachment 980957
Sent using Jamii Forums mobile app
ndio nini sasa?Tunabwabwaja 5-1
Ww hujui sababu mpk sasa hivi
Pia tunabwabwaja hii mambo hapa chini hapaaView attachment 980957
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaHii inawezekana Tanzania tu tena kwa shabiki asiyejua historia ya EPL
Sent from my iPhone using JamiiForums
hongera
Huyo hakuwa shabikiHii inawezekana Tanzania tu tena kwa shabiki asiyejua historia ya EPL
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wewe nawe sio shabiki ..
Wewe ni takataka tu.
Umeona wap shabiki akihama timu atakama ikifanya vibaya?
Sent using Jamii Forums mobile app


Naona damu zimetapakaa tu humu.. Hebu fanyrni mdeki chap chap tunataka kunyaga na sie tumwage zetu.
Kama huyo Liver kaeafanya ivyo mkikutana na sisi si ndio tutawauwa kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huyu A5 (THE GONO) akikaa hovyo wolves anamuweka wa 7 maana kwa man u apende asipende atapitwa tuNawakumbusha tu kuwa Manchester United leo anashinda nyingi na kufikisha Points 35 ambazo atahitaji Points 3 awapite nyinyi.
Nafasi Yenu Halisi ni ya 6



.
Crystal Palace asikutishe bhana ana point zangu tatuHivi unajua kama leo una Palace aliyemnyoosha Man City?
Jiandae na msiba
Man U tunazidi kupanda. Arsenal tunamchomoa pale tuanze kumtafuta chelsea sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni rahisi sana kusema hivyo lakini siku zote hakuna timu inayoshikwa na kocha mpya ikaanza na matokeo mabovu. Man United bado sana wala msijivune kumpita arsenal still bado ingawaje mwaweza ingia top 4 lakn siyo kirahisi hivyo.Nawakumbusha tu kuwa Manchester United leo anashinda nyingi na kufikisha Points 35 ambazo atahitaji Points 3 awapite nyinyi.
Nafasi Yenu Halisi ni ya 6
Haha.. Mmeshaanza kuwanga.
Leicester aliyemfunga City na aliyetufanga sisi nyumbani jana kafungwa kwake na Cardiff.
Haha mpira bwana.Crystal Palace asikutishe bhana ana point zangu tatu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu karibu ushuhudie kandanda safi la burudani. Japo mimi sina hakika kama muda huo nitaweza kushuhudia burudani hiyo kutokana na kubanwa na majukumu fulani.Game yenu hii nahiari nikose kula lakini si kukosa kuiangalia Coz najua Faraja ipo tu hapa 😀😀